Kwanini Mdee na wenzake hawatathubutu kwenda Mahakamani

Kwanini Mdee na wenzake hawatathubutu kwenda Mahakamani

Hao ndio hivyo tena wameisha kisiasa, historia inaonyesha wazi kwamba mpinzani yeyote anayerubuniwa na ccm na kuisaliti upinzani lazima afe tu kisiasa.

Wapo wengi sana hata siwezi kuwataja humu. Hao wanawake ndio hivyo tena Chadema iliwapenda lakini ccm iliwapenda zaidi tuache demokrasia ihimidiwe. Amin.
 
Kwan mahakaman wanaenda eleven nn zaid ya Mchakato wa Baraza kuu ulikuwa Batili?
 
Nini? Kwani wao walukuwa ni wanachama wa chama cha siasa kinachoitwa Bunge au chama cha siasa kinchoitwa Chadema?
Wamefukuzwa na Chadema mkuu.
Bunge linaweza kumfuta mbunge yoyote ubunge kwa utaratibu wake, kama lilivyofanya kwa TL na siyo kumfukuza uanachama wa chama chake.
Umetoa wapi haya unayoandika hapa? Sophia Simba alifukuzwa CCM then Bunge likamfukuza, Erasto Tumbo na Danny Makanga walifukuzwa UDP Then Spika Msekwa akawafukuza Bungeni na Lipumba alifukuza wabunge 8 Viti Maalum Ndugai akawafukuza
 
ungekua umekielewa alichokiandika jamaa usingeandika upuuzi huu ....Samia huo ufilauni kaukataa ndomana anajaribu kutembea duniani kujifunza Kama ndohivo asingetoka mbowe gerezani

Kesi ya mchongo ya Mbowe ilikuwa wakati wa Samia, na ilichokuwa inafanya mahakama tuliona, au ulikuwa jela hukusikia habari za hiyo kesi?
 
Nini? Kwani wao walukuwa ni wanachama wa chama cha siasa kinachoitwa Bunge au chama cha siasa kinchoitwa Chadema?
Wamefukuzwa na Chadema mkuu.
Bunge linaweza kumfuta mbunge yoyote ubunge kwa utaratibu wake, kama lilivyofanya kwa TL na siyo kumfukuza uanachama wa chama chake.
Hii ni katiba ya nchi gani unazungumzia?
 
Baada ya Baraza Kuu la Chadema kutupilia mbali Rufaa zao na kuthibitisha kuwafukuza uanachama wa Chadema, Halima Mdee na wenzake hawatathubutu kwenda Mahakamani Kwa sababu zifuatazo;

1. Watakuwa na maswali mengi ya kumjibu Kuhusu walivyoupata huo Ubunge wao, Nani alisaini nyaraka zao, Nani alijaza fomu Kwa Niaba ya Katibu Mkuu wa Chadema na ili kujitetea watalazimika kuwasilisha nyaraka hizo.

2. NEC Itaingizwa kwenye kashfa ya Karne, kwani wataitwa Mahakamani kama mashahidi juu ya Nani aliwapa barua za uteuzi na fomu namba 12C ambazo zinatakiwa kusainiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha siasa.

3. Nusrat Hanje, alitolewa Gerezani usiku na kwenda kuapishwa kuwa Mbunge, atatakiwa kujibu alitolewa Kwa utaratibu upi na aliwezaje kujaza fomu za kugombea Ubunge akiwa Gerezani? Ataliingiza Jeshi la Magereza katika kashifa kubwa ya jinsi wasivyofuata sheria za Magereza.

4. Nyaraka za kugushi, watakuwa na mzigo wa kujieleza kuhusu nyaraka walizogushi Kwa kushirikiana na NEC ili wateuliwe kuwa wabunge, Jambo hili litaivua nguo tume na Serikali nzima.

5. Hawa Mwaifunga,Kunti Yusuph na Grace Tendega watakuwa na kazi ya kuieleza Mahakama ushiriki wa Katibu wa wabunge wa CCM Rweikiza katika kuandaa orodha ya majina ya wabunge hao! Kazi hii itaivua nguo CCM na jinsi walivyoweza kushiriki kwenye kashfa hii!

6 . Spika Job Ndugai , atatakiwa kuitwa na kuwa Shahidi kueleza alikopata orodha ya wabunge hao,na baada ya Chadema kuwafukuza ni Kwa nini aliendelea kuwakumbatia Kinyume na Katiba ya JMT ibara ya 71(1)(e), ambayo imetamka wazi kuwa Mbunge atapoteza sifa za kuwa Mbunge kama atafukuzwa uanachama na Chama chake cha siasa! Hapo patakuwa patamu Sana ! Ndugai ndio itakuwa fursa kwake kulipiza kisasi Kwa Dola?

Hizi ni baadhi ya sababu ambazo zinawafanya wajiulize kama wakifika Mahakamani watapona au ndio itakuwa kilio na kusaga Meno!
Wakidhubutu tu kwenda mahakamani....
Tunayo majembe yetu yalobobea na mambo ya kughushi yakawavue nguo pamoja na alokuwa yuko nyuma chezo zima nayo ni,;
1) Tundu A. Lissu
2) Peter Kibatalla
3) ......
4) ......

Mpaka watarudisha na kodi zetu walizotuibia kwa kulipwa
😂🤣🤣...nahisi hawa covid 19 ndo waliosababisha mafuta kupanda we ngoja wadhubutu.....🤣🤣🤣🤣
 
Baada ya Baraza Kuu la Chadema kutupilia mbali Rufaa zao na kuthibitisha kuwafukuza uanachama wa Chadema, Halima Mdee na wenzake hawatathubutu kwenda Mahakamani Kwa sababu zifuatazo;

1. Watakuwa na maswali mengi ya kumjibu Kuhusu walivyoupata huo Ubunge wao, Nani alisaini nyaraka zao, Nani alijaza fomu Kwa Niaba ya Katibu Mkuu wa Chadema na ili kujitetea watalazimika kuwasilisha nyaraka hizo.

2. NEC Itaingizwa kwenye kashfa ya Karne, kwani wataitwa Mahakamani kama mashahidi juu ya Nani aliwapa barua za uteuzi na fomu namba 12C ambazo zinatakiwa kusainiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha siasa.

3. Nusrat Hanje, alitolewa Gerezani usiku na kwenda kuapishwa kuwa Mbunge, atatakiwa kujibu alitolewa Kwa utaratibu upi na aliwezaje kujaza fomu za kugombea Ubunge akiwa Gerezani? Ataliingiza Jeshi la Magereza katika kashifa kubwa ya jinsi wasivyofuata sheria za Magereza.

4. Nyaraka za kugushi, watakuwa na mzigo wa kujieleza kuhusu nyaraka walizogushi Kwa kushirikiana na NEC ili wateuliwe kuwa wabunge, Jambo hili litaivua nguo tume na Serikali nzima.

5. Hawa Mwaifunga,Kunti Yusuph na Grace Tendega watakuwa na kazi ya kuieleza Mahakama ushiriki wa Katibu wa wabunge wa CCM Rweikiza katika kuandaa orodha ya majina ya wabunge hao! Kazi hii itaivua nguo CCM na jinsi walivyoweza kushiriki kwenye kashfa hii!

6 . Spika Job Ndugai , atatakiwa kuitwa na kuwa Shahidi kueleza alikopata orodha ya wabunge hao,na baada ya Chadema kuwafukuza ni Kwa nini aliendelea kuwakumbatia Kinyume na Katiba ya JMT ibara ya 71(1)(e), ambayo imetamka wazi kuwa Mbunge atapoteza sifa za kuwa Mbunge kama atafukuzwa uanachama na Chama chake cha siasa! Hapo patakuwa patamu Sana ! Ndugai ndio itakuwa fursa kwake kulipiza kisasi Kwa Dola?

Hizi ni baadhi ya sababu ambazo zinawafanya wajiulize kama wakifika Mahakamani watapona au ndio itakuwa kilio na kusaga Meno!
Ngoja inyeshe tuona panapovuja,siasa ni zaidi ya kamari au ukiweka chekundu umeliwa
 
Kesi ya mchongo ya Mbowe ilikuwa wakati wa Samia, na ilichokuwa inafanya mahakama tuliona, au ulikuwa jela hukusikia habari za hiyo kesi?
Samia alilishwa matango alivojiridhisha akayatapika aibu Kwenu
 
Sawa Sasa unadhani halima na wenzie Wana Cha kupoteza?
yaani mpaka usubiri 2025 ndo uje urudi tena bungeni leo?
Wanajua wanapiga hela zao wanasepa.huko 2025 ni majaaliwa yake mungu.wakifika watajua wafanye nini
Nini? Kwani wao walukuwa ni wanachama wa chama cha siasa kinachoitwa Bunge au chama cha siasa kinchoitwa Chadema?
Wamefukuzwa na Chadema mkuu.
Bunge linaweza kumfuta mbunge yoyote ubunge kwa utaratibu wake, kama lilivyofanya kwa TL na siyo kumfukuza uanachama wa chama chake.
 
Baada ya Baraza Kuu la Chadema kutupilia mbali Rufaa zao na kuthibitisha kuwafukuza uanachama wa Chadema, Halima Mdee na wenzake hawatathubutu kwenda Mahakamani Kwa sababu zifuatazo;

1. Watakuwa na maswali mengi ya kumjibu Kuhusu walivyoupata huo Ubunge wao, Nani alisaini nyaraka zao, Nani alijaza fomu Kwa Niaba ya Katibu Mkuu wa Chadema na ili kujitetea watalazimika kuwasilisha nyaraka hizo.

2. NEC Itaingizwa kwenye kashfa ya Karne, kwani wataitwa Mahakamani kama mashahidi juu ya Nani aliwapa barua za uteuzi na fomu namba 12C ambazo zinatakiwa kusainiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha siasa.

3. Nusrat Hanje, alitolewa Gerezani usiku na kwenda kuapishwa kuwa Mbunge, atatakiwa kujibu alitolewa Kwa utaratibu upi na aliwezaje kujaza fomu za kugombea Ubunge akiwa Gerezani? Ataliingiza Jeshi la Magereza katika kashifa kubwa ya jinsi wasivyofuata sheria za Magereza.

4. Nyaraka za kugushi, watakuwa na mzigo wa kujieleza kuhusu nyaraka walizogushi Kwa kushirikiana na NEC ili wateuliwe kuwa wabunge, Jambo hili litaivua nguo tume na Serikali nzima.

5. Hawa Mwaifunga,Kunti Yusuph na Grace Tendega watakuwa na kazi ya kuieleza Mahakama ushiriki wa Katibu wa wabunge wa CCM Rweikiza katika kuandaa orodha ya majina ya wabunge hao! Kazi hii itaivua nguo CCM na jinsi walivyoweza kushiriki kwenye kashfa hii!

6 . Spika Job Ndugai , atatakiwa kuitwa na kuwa Shahidi kueleza alikopata orodha ya wabunge hao,na baada ya Chadema kuwafukuza ni Kwa nini aliendelea kuwakumbatia Kinyume na Katiba ya JMT ibara ya 71(1)(e), ambayo imetamka wazi kuwa Mbunge atapoteza sifa za kuwa Mbunge kama atafukuzwa uanachama na Chama chake cha siasa! Hapo patakuwa patamu Sana ! Ndugai ndio itakuwa fursa kwake kulipiza kisasi Kwa Dola?

Hizi ni baadhi ya sababu ambazo zinawafanya wajiulize kama wakifika Mahakamani watapona au ndio itakuwa kilio na kusaga Meno!
Kazi ipo
 
Baada ya Baraza Kuu la Chadema kutupilia mbali Rufaa zao na kuthibitisha kuwafukuza uanachama wa Chadema, Halima Mdee na wenzake hawatathubutu kwenda Mahakamani Kwa sababu zifuatazo;

1. Watakuwa na maswali mengi ya kumjibu Kuhusu walivyoupata huo Ubunge wao, Nani alisaini nyaraka zao, Nani alijaza fomu Kwa Niaba ya Katibu Mkuu wa Chadema na ili kujitetea watalazimika kuwasilisha nyaraka hizo.

2. NEC Itaingizwa kwenye kashfa ya Karne, kwani wataitwa Mahakamani kama mashahidi juu ya Nani aliwapa barua za uteuzi na fomu namba 12C ambazo zinatakiwa kusainiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha siasa.

3. Nusrat Hanje, alitolewa Gerezani usiku na kwenda kuapishwa kuwa Mbunge, atatakiwa kujibu alitolewa Kwa utaratibu upi na aliwezaje kujaza fomu za kugombea Ubunge akiwa Gerezani? Ataliingiza Jeshi la Magereza katika kashifa kubwa ya jinsi wasivyofuata sheria za Magereza.

4. Nyaraka za kugushi, watakuwa na mzigo wa kujieleza kuhusu nyaraka walizogushi Kwa kushirikiana na NEC ili wateuliwe kuwa wabunge, Jambo hili litaivua nguo tume na Serikali nzima.

5. Hawa Mwaifunga,Kunti Yusuph na Grace Tendega watakuwa na kazi ya kuieleza Mahakama ushiriki wa Katibu wa wabunge wa CCM Rweikiza katika kuandaa orodha ya majina ya wabunge hao! Kazi hii itaivua nguo CCM na jinsi walivyoweza kushiriki kwenye kashfa hii!

6 . Spika Job Ndugai , atatakiwa kuitwa na kuwa Shahidi kueleza alikopata orodha ya wabunge hao,na baada ya Chadema kuwafukuza ni Kwa nini aliendelea kuwakumbatia Kinyume na Katiba ya JMT ibara ya 71(1)(e), ambayo imetamka wazi kuwa Mbunge atapoteza sifa za kuwa Mbunge kama atafukuzwa uanachama na Chama chake cha siasa! Hapo patakuwa patamu Sana ! Ndugai ndio itakuwa fursa kwake kulipiza kisasi Kwa Dola?

Hizi ni baadhi ya sababu ambazo zinawafanya wajiulize kama wakifika Mahakamani watapona au ndio itakuwa kilio na kusaga Meno!
Asante sana Haki sawa .. Wale wote waliokuwa wanawachochea uviko 19 waende mahakamani ni vema wakapita hapa kwenye huu uzi wako wajionee wajisomee
 
Samia alilishwa matango alivojiridhisha akayatapika aibu Kwenu

Yaani mimi mtu wa mtaani nilikuwa najua kabisa ni Matango pori, yeye ambaye ni rais ashindwe kujua? Mkuu unaniona hamnazo nini?
 
Msaliti Hana aibu. Unaweza shangaa wakaenda mahakamani
Mimi naombea waende mahakamani na wasibughudhiwe ktk ubunge wao hadi 2025 ili tusiojua kuwa mifumo yetu ya ovyo tujue.Mtu mmoja anakuwa sheria mama kisa tu ameshindishwa kwa kishindo.
 
Back
Top Bottom