Wasiombe wakutane na huyo kiumbeHalafu wakutane na Kibatala The Lawyer & Others
Umetoa wapi haya unayoandika hapa? Sophia Simba alifukuzwa CCM then Bunge likamfukuza, Erasto Tumbo na Danny Makanga walifukuzwa UDP Then Spika Msekwa akawafukuza Bungeni na Lipumba alifukuza wabunge 8 Viti Maalum Ndugai akawafukuzaNini? Kwani wao walukuwa ni wanachama wa chama cha siasa kinachoitwa Bunge au chama cha siasa kinchoitwa Chadema?
Wamefukuzwa na Chadema mkuu.
Bunge linaweza kumfuta mbunge yoyote ubunge kwa utaratibu wake, kama lilivyofanya kwa TL na siyo kumfukuza uanachama wa chama chake.
ungekua umekielewa alichokiandika jamaa usingeandika upuuzi huu ....Samia huo ufilauni kaukataa ndomana anajaribu kutembea duniani kujifunza Kama ndohivo asingetoka mbowe gerezani
Hii ni katiba ya nchi gani unazungumzia?Nini? Kwani wao walukuwa ni wanachama wa chama cha siasa kinachoitwa Bunge au chama cha siasa kinchoitwa Chadema?
Wamefukuzwa na Chadema mkuu.
Bunge linaweza kumfuta mbunge yoyote ubunge kwa utaratibu wake, kama lilivyofanya kwa TL na siyo kumfukuza uanachama wa chama chake.
Wakidhubutu tu kwenda mahakamani....Baada ya Baraza Kuu la Chadema kutupilia mbali Rufaa zao na kuthibitisha kuwafukuza uanachama wa Chadema, Halima Mdee na wenzake hawatathubutu kwenda Mahakamani Kwa sababu zifuatazo;
1. Watakuwa na maswali mengi ya kumjibu Kuhusu walivyoupata huo Ubunge wao, Nani alisaini nyaraka zao, Nani alijaza fomu Kwa Niaba ya Katibu Mkuu wa Chadema na ili kujitetea watalazimika kuwasilisha nyaraka hizo.
2. NEC Itaingizwa kwenye kashfa ya Karne, kwani wataitwa Mahakamani kama mashahidi juu ya Nani aliwapa barua za uteuzi na fomu namba 12C ambazo zinatakiwa kusainiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha siasa.
3. Nusrat Hanje, alitolewa Gerezani usiku na kwenda kuapishwa kuwa Mbunge, atatakiwa kujibu alitolewa Kwa utaratibu upi na aliwezaje kujaza fomu za kugombea Ubunge akiwa Gerezani? Ataliingiza Jeshi la Magereza katika kashifa kubwa ya jinsi wasivyofuata sheria za Magereza.
4. Nyaraka za kugushi, watakuwa na mzigo wa kujieleza kuhusu nyaraka walizogushi Kwa kushirikiana na NEC ili wateuliwe kuwa wabunge, Jambo hili litaivua nguo tume na Serikali nzima.
5. Hawa Mwaifunga,Kunti Yusuph na Grace Tendega watakuwa na kazi ya kuieleza Mahakama ushiriki wa Katibu wa wabunge wa CCM Rweikiza katika kuandaa orodha ya majina ya wabunge hao! Kazi hii itaivua nguo CCM na jinsi walivyoweza kushiriki kwenye kashfa hii!
6 . Spika Job Ndugai , atatakiwa kuitwa na kuwa Shahidi kueleza alikopata orodha ya wabunge hao,na baada ya Chadema kuwafukuza ni Kwa nini aliendelea kuwakumbatia Kinyume na Katiba ya JMT ibara ya 71(1)(e), ambayo imetamka wazi kuwa Mbunge atapoteza sifa za kuwa Mbunge kama atafukuzwa uanachama na Chama chake cha siasa! Hapo patakuwa patamu Sana ! Ndugai ndio itakuwa fursa kwake kulipiza kisasi Kwa Dola?
Hizi ni baadhi ya sababu ambazo zinawafanya wajiulize kama wakifika Mahakamani watapona au ndio itakuwa kilio na kusaga Meno!
Ngoja inyeshe tuona panapovuja,siasa ni zaidi ya kamari au ukiweka chekundu umeliwaBaada ya Baraza Kuu la Chadema kutupilia mbali Rufaa zao na kuthibitisha kuwafukuza uanachama wa Chadema, Halima Mdee na wenzake hawatathubutu kwenda Mahakamani Kwa sababu zifuatazo;
1. Watakuwa na maswali mengi ya kumjibu Kuhusu walivyoupata huo Ubunge wao, Nani alisaini nyaraka zao, Nani alijaza fomu Kwa Niaba ya Katibu Mkuu wa Chadema na ili kujitetea watalazimika kuwasilisha nyaraka hizo.
2. NEC Itaingizwa kwenye kashfa ya Karne, kwani wataitwa Mahakamani kama mashahidi juu ya Nani aliwapa barua za uteuzi na fomu namba 12C ambazo zinatakiwa kusainiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha siasa.
3. Nusrat Hanje, alitolewa Gerezani usiku na kwenda kuapishwa kuwa Mbunge, atatakiwa kujibu alitolewa Kwa utaratibu upi na aliwezaje kujaza fomu za kugombea Ubunge akiwa Gerezani? Ataliingiza Jeshi la Magereza katika kashifa kubwa ya jinsi wasivyofuata sheria za Magereza.
4. Nyaraka za kugushi, watakuwa na mzigo wa kujieleza kuhusu nyaraka walizogushi Kwa kushirikiana na NEC ili wateuliwe kuwa wabunge, Jambo hili litaivua nguo tume na Serikali nzima.
5. Hawa Mwaifunga,Kunti Yusuph na Grace Tendega watakuwa na kazi ya kuieleza Mahakama ushiriki wa Katibu wa wabunge wa CCM Rweikiza katika kuandaa orodha ya majina ya wabunge hao! Kazi hii itaivua nguo CCM na jinsi walivyoweza kushiriki kwenye kashfa hii!
6 . Spika Job Ndugai , atatakiwa kuitwa na kuwa Shahidi kueleza alikopata orodha ya wabunge hao,na baada ya Chadema kuwafukuza ni Kwa nini aliendelea kuwakumbatia Kinyume na Katiba ya JMT ibara ya 71(1)(e), ambayo imetamka wazi kuwa Mbunge atapoteza sifa za kuwa Mbunge kama atafukuzwa uanachama na Chama chake cha siasa! Hapo patakuwa patamu Sana ! Ndugai ndio itakuwa fursa kwake kulipiza kisasi Kwa Dola?
Hizi ni baadhi ya sababu ambazo zinawafanya wajiulize kama wakifika Mahakamani watapona au ndio itakuwa kilio na kusaga Meno!
Samia alilishwa matango alivojiridhisha akayatapika aibu KwenuKesi ya mchongo ya Mbowe ilikuwa wakati wa Samia, na ilichokuwa inafanya mahakama tuliona, au ulikuwa jela hukusikia habari za hiyo kesi?
Muulize Easter bulayaHivi halima ana Mtoto?
Nini? Kwani wao walukuwa ni wanachama wa chama cha siasa kinachoitwa Bunge au chama cha siasa kinchoitwa Chadema?
Wamefukuzwa na Chadema mkuu.
Bunge linaweza kumfuta mbunge yoyote ubunge kwa utaratibu wake, kama lilivyofanya kwa TL na siyo kumfukuza uanachama wa chama chake.
Kazi ipoBaada ya Baraza Kuu la Chadema kutupilia mbali Rufaa zao na kuthibitisha kuwafukuza uanachama wa Chadema, Halima Mdee na wenzake hawatathubutu kwenda Mahakamani Kwa sababu zifuatazo;
1. Watakuwa na maswali mengi ya kumjibu Kuhusu walivyoupata huo Ubunge wao, Nani alisaini nyaraka zao, Nani alijaza fomu Kwa Niaba ya Katibu Mkuu wa Chadema na ili kujitetea watalazimika kuwasilisha nyaraka hizo.
2. NEC Itaingizwa kwenye kashfa ya Karne, kwani wataitwa Mahakamani kama mashahidi juu ya Nani aliwapa barua za uteuzi na fomu namba 12C ambazo zinatakiwa kusainiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha siasa.
3. Nusrat Hanje, alitolewa Gerezani usiku na kwenda kuapishwa kuwa Mbunge, atatakiwa kujibu alitolewa Kwa utaratibu upi na aliwezaje kujaza fomu za kugombea Ubunge akiwa Gerezani? Ataliingiza Jeshi la Magereza katika kashifa kubwa ya jinsi wasivyofuata sheria za Magereza.
4. Nyaraka za kugushi, watakuwa na mzigo wa kujieleza kuhusu nyaraka walizogushi Kwa kushirikiana na NEC ili wateuliwe kuwa wabunge, Jambo hili litaivua nguo tume na Serikali nzima.
5. Hawa Mwaifunga,Kunti Yusuph na Grace Tendega watakuwa na kazi ya kuieleza Mahakama ushiriki wa Katibu wa wabunge wa CCM Rweikiza katika kuandaa orodha ya majina ya wabunge hao! Kazi hii itaivua nguo CCM na jinsi walivyoweza kushiriki kwenye kashfa hii!
6 . Spika Job Ndugai , atatakiwa kuitwa na kuwa Shahidi kueleza alikopata orodha ya wabunge hao,na baada ya Chadema kuwafukuza ni Kwa nini aliendelea kuwakumbatia Kinyume na Katiba ya JMT ibara ya 71(1)(e), ambayo imetamka wazi kuwa Mbunge atapoteza sifa za kuwa Mbunge kama atafukuzwa uanachama na Chama chake cha siasa! Hapo patakuwa patamu Sana ! Ndugai ndio itakuwa fursa kwake kulipiza kisasi Kwa Dola?
Hizi ni baadhi ya sababu ambazo zinawafanya wajiulize kama wakifika Mahakamani watapona au ndio itakuwa kilio na kusaga Meno!
Kwani alishampa ujauzito life-partner wake?Hivi halima ana Mtoto?
Kwani bunge linafukuza mtu ubunge kwa kufukuzwa na chama chake..!? Katiba inataka hivyoHawawezi kwenda mahakamani kwa Sababu bungeni hawajafukuzwa.
Hata wewe ungeenda mahakamani?
Asante sana Haki sawa .. Wale wote waliokuwa wanawachochea uviko 19 waende mahakamani ni vema wakapita hapa kwenye huu uzi wako wajionee wajisomeeBaada ya Baraza Kuu la Chadema kutupilia mbali Rufaa zao na kuthibitisha kuwafukuza uanachama wa Chadema, Halima Mdee na wenzake hawatathubutu kwenda Mahakamani Kwa sababu zifuatazo;
1. Watakuwa na maswali mengi ya kumjibu Kuhusu walivyoupata huo Ubunge wao, Nani alisaini nyaraka zao, Nani alijaza fomu Kwa Niaba ya Katibu Mkuu wa Chadema na ili kujitetea watalazimika kuwasilisha nyaraka hizo.
2. NEC Itaingizwa kwenye kashfa ya Karne, kwani wataitwa Mahakamani kama mashahidi juu ya Nani aliwapa barua za uteuzi na fomu namba 12C ambazo zinatakiwa kusainiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha siasa.
3. Nusrat Hanje, alitolewa Gerezani usiku na kwenda kuapishwa kuwa Mbunge, atatakiwa kujibu alitolewa Kwa utaratibu upi na aliwezaje kujaza fomu za kugombea Ubunge akiwa Gerezani? Ataliingiza Jeshi la Magereza katika kashifa kubwa ya jinsi wasivyofuata sheria za Magereza.
4. Nyaraka za kugushi, watakuwa na mzigo wa kujieleza kuhusu nyaraka walizogushi Kwa kushirikiana na NEC ili wateuliwe kuwa wabunge, Jambo hili litaivua nguo tume na Serikali nzima.
5. Hawa Mwaifunga,Kunti Yusuph na Grace Tendega watakuwa na kazi ya kuieleza Mahakama ushiriki wa Katibu wa wabunge wa CCM Rweikiza katika kuandaa orodha ya majina ya wabunge hao! Kazi hii itaivua nguo CCM na jinsi walivyoweza kushiriki kwenye kashfa hii!
6 . Spika Job Ndugai , atatakiwa kuitwa na kuwa Shahidi kueleza alikopata orodha ya wabunge hao,na baada ya Chadema kuwafukuza ni Kwa nini aliendelea kuwakumbatia Kinyume na Katiba ya JMT ibara ya 71(1)(e), ambayo imetamka wazi kuwa Mbunge atapoteza sifa za kuwa Mbunge kama atafukuzwa uanachama na Chama chake cha siasa! Hapo patakuwa patamu Sana ! Ndugai ndio itakuwa fursa kwake kulipiza kisasi Kwa Dola?
Hizi ni baadhi ya sababu ambazo zinawafanya wajiulize kama wakifika Mahakamani watapona au ndio itakuwa kilio na kusaga Meno!
Hoja hii inaweza kuwa na mashiko... Nakubaliana na wewe 100%....Ester Bulaya ni pandikizi toka CCM, ndiye aliyeratibu mchakato mzima wa kumrubuni Mdee
Samia alilishwa matango alivojiridhisha akayatapika aibu Kwenu
Mimi naombea waende mahakamani na wasibughudhiwe ktk ubunge wao hadi 2025 ili tusiojua kuwa mifumo yetu ya ovyo tujue.Mtu mmoja anakuwa sheria mama kisa tu ameshindishwa kwa kishindo.Msaliti Hana aibu. Unaweza shangaa wakaenda mahakamani
Haipo kwenye miongozo ya chama,kuwa na mtoto/kutokuwa na mtoto ni family issue. Mazuri na mapungufu ya Halima kwenye siasa yasihusishwe na hy agenda.Hivi halima ana Mtoto?