Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 487
- 1,287
I'd zile zile zinajirudia kusimulia au kueleza yale yaleKama matajiri au wamekaa nje au wameumizwa na mapenzi, we umejuaje? Na humu Kuna watu wengi Sana? Au ni mawazo yako tu.
4. Wana jamiiforums wote hawajaungaunga ka elimu kao.1. Wana JamiiForums wengi wameumizwa na mapenzi.
2. Wana JamiiForums wote wamefika nchi za nje na wamekaa huko.
3. Wana JamiiForums wote ni matajiri.
Kama wote ni matajiri mimi mbn Sina iyo pesa ya utajiri isipokua utajiri wa akiliWana jamiiforums nawafananisha na wachungaji ambao muda wote reference yao ni matukio ambayo wamewahi kukabiliana nayo na kuyashinda na matukio hayo hujirudirudia.
Wanajamiiforums wengi wametingwa na visanga, mwanamemba mmoja anaweza kuleta visanga zaidi ya 10 ambavyo amewahi kukabiliana navyo.
1. Wana JamiiForums wengi wameumizwa na mapenzi.
2. Wana JamiiForums wote wamefika nchi za nje na wamekaa huko.
3. Wana JamiiForums wote ni matajiri.
Najiuliza haya matukio ni ya kweli au ya kutungwa?
Ina mana hata matajiti tukijigamba huku Nako ni kosa?...Wana jamiiforums nawafananisha na wachungaji ambao muda wote reference yao ni matukio ambayo wamewahi kukabiliana nayo na kuyashinda na matukio hayo hujirudirudia.
Wanajamiiforums wengi wametingwa na visanga, mwanamemba mmoja anaweza kuleta visanga zaidi ya 10 ambavyo amewahi kukabiliana navyo.
1. Wana JamiiForums wengi wameumizwa na mapenzi.
2. Wana JamiiForums wote wamefika nchi za nje na wamekaa huko.
3. Wana JamiiForums wote ni matajiri.
Najiuliza haya matukio ni ya kweli au ya kutungwa?
UmeonaWote wameajiriwa na wana mishahara mikubwa, na kuna wafanya biashara wakubwa humu kwa siku mauzo wanalaza mill 400
Ina mana hata matajiti tukijigamba huku Nako ni kosa?...
Nina Nisan dualis 3 zote nazitumia kusakia ajira.
Cc. Jobless Billionaire
Kila mtu mtandaoni ni TAJIRI hadi pale itakapothibitika vinginevyo.Wana jamiiforums nawafananisha na wachungaji ambao muda wote reference yao ni matukio ambayo wamewahi kukabiliana nayo na kuyashinda na matukio hayo hujirudirudia.
Wanajamiiforums wengi wametingwa na visanga, mwanamemba mmoja anaweza kuleta visanga zaidi ya 10 ambavyo amewahi kukabiliana navyo.
1. Wana JamiiForums wengi wameumizwa na mapenzi.
2. Wana JamiiForums wote wamefika nchi za nje na wamekaa huko.
3. Wana JamiiForums wote ni matajiri.
Najiuliza haya matukio ni ya kweli au ya kutungwa?
Ndio mm mkuu ila Nina gari 3 mkuu. Kama hutaki hulazimishwi kuamini...Wewe si ndo juzi kati kwenye Nyuzi moja hivi ulikuwa Unaulizia Kazi ya kulinda kwenye Shamba Mkuu
I missed you bro, Pole kwa kuwa nje ya ulingoNgoja nikuitie matajiri wa JF waje wakupe muongozo Tajiri Abasi Tajiri Kichwa Tajiri la Bitcoin Tajiri mkopeshaji TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Tajiri mpole TAJIRI MSOMI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wote wameajiriwa na wana mishahara mikubwa, na kuna wafanya biashara wakubwa humu kwa siku mauzo wanalaza mill 400
I missed you bro, Pole kwa kuwa nje ya ulingo
Naona umewaita matajiti wote kasoro akili kubwa la musoma ,Mara gentamycine@GENTAMYCIMENgoja nikuitie matajiri wa JF waje wakupe muongozo Tajiri Abasi Tajiri Kichwa Tajiri la Bitcoin Tajiri mkopeshaji TAJIRI MKUU WA MATAJIRI Tajiri mpole TAJIRI MSOMI