Kwanini members wengi wa Jamiiforums wanakumbwa na visanga na matukio makubwa?

Kwanini members wengi wa Jamiiforums wanakumbwa na visanga na matukio makubwa?

1. Wana JamiiForums wengi wameumizwa na mapenzi.
2. Wana JamiiForums wote wamefika nchi za nje na wamekaa huko.
3. Wana JamiiForums wote ni matajiri.

Namba moja ni jambo la kawaida sana kutokea

Namba mbili na tatu ndio imefanya uzi wako uonekane hauna maana,kwasababu neno WOTE ni kiashiria kwamba uzi hauna uhalisia
 
Back
Top Bottom