Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Nov 18, 2023 #21 Namba 2 na namba 3 simoooooo
UMUGHAKA JF-Expert Member Joined Sep 1, 2021 Posts 2,753 Reaction score 12,932 Nov 18, 2023 #22 dr namugari said: Naona umewaita matajiti wote kasoro akili kubwa la musoma ,Mara gentamycine@GENTAMYCIME Click to expand... Mkuu huwa unasumbuliwa na matatizo gani?
dr namugari said: Naona umewaita matajiti wote kasoro akili kubwa la musoma ,Mara gentamycine@GENTAMYCIME Click to expand... Mkuu huwa unasumbuliwa na matatizo gani?
Joanah JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 22,527 Reaction score 79,976 Nov 18, 2023 #23 Nyamesocho said: 1. Wana JamiiForums wengi wameumizwa na mapenzi. 2. Wana JamiiForums wote wamefika nchi za nje na wamekaa huko. 3. Wana JamiiForums wote ni matajiri. Click to expand... Namba moja ni jambo la kawaida sana kutokea Namba mbili na tatu ndio imefanya uzi wako uonekane hauna maana,kwasababu neno WOTE ni kiashiria kwamba uzi hauna uhalisia
Nyamesocho said: 1. Wana JamiiForums wengi wameumizwa na mapenzi. 2. Wana JamiiForums wote wamefika nchi za nje na wamekaa huko. 3. Wana JamiiForums wote ni matajiri. Click to expand... Namba moja ni jambo la kawaida sana kutokea Namba mbili na tatu ndio imefanya uzi wako uonekane hauna maana,kwasababu neno WOTE ni kiashiria kwamba uzi hauna uhalisia
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Nov 18, 2023 #24 Kwahio hivo ndo visanga??π€π€π€
Fabian Vitus JF-Expert Member Joined Jul 18, 2022 Posts 5,828 Reaction score 7,532 Nov 19, 2023 #25 Lamomy said: Wote wameajiriwa na wana mishahara mikubwa, na kuna wafanya biashara wakubwa humu kwa siku mauzo wanalaza mill 400 Click to expand... Kwaiyo umeamua kutudharirisha tusioingiza hata 50000 tu kwa siku
Lamomy said: Wote wameajiriwa na wana mishahara mikubwa, na kuna wafanya biashara wakubwa humu kwa siku mauzo wanalaza mill 400 Click to expand... Kwaiyo umeamua kutudharirisha tusioingiza hata 50000 tu kwa siku
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 31,913 Reaction score 65,514 Nov 19, 2023 #26 Nipo mimi jobless wa kimataifa π€π€. π I got no job, or a place to liveπ€π€