Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Tunaona wachezaji mbalimbali wakipewq adhabu kali kwa kutoa lugha za ubaguzi mfano Luis Suarez, John Terry na hata club ya Valencia kupigwa faini kubwa kwa mashabiki wake kumbagua Vinicius
Iweje Messi anatukana wachezaji weusi matusi ya kibaguzi halafu anaachwa tu?
Iweje Messi anatukana wachezaji weusi matusi ya kibaguzi halafu anaachwa tu?