Kwanini Messi hachukuliwi hatua kwa kubagua wachezaji weusi?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Tunaona wachezaji mbalimbali wakipewq adhabu kali kwa kutoa lugha za ubaguzi mfano Luis Suarez, John Terry na hata club ya Valencia kupigwa faini kubwa kwa mashabiki wake kumbagua Vinicius

Iweje Messi anatukana wachezaji weusi matusi ya kibaguzi halafu anaachwa tu?

 
Blacks wa mbele ni wachumba sana wana taka waonekane kama yatima vile..hivi mimi unite nyani afu nku waze na hauni punguzii kitu wtf .dawa ni kupotezea tu
No. Ubaguzi humwathiri mtu kisaikolojia. Mtu yeyote timamu lazima ahisi vibaya anapobaguliwa kwenye lolote. LAZIMA.



YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Huu Uzi ufutwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…