Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Dah tukuwache tu mkuu bora. hatuwezi kujua mazingira yako unakotoka na ulivo yapo vipi
Uchagani.umeshawahi kunywa supu mikoa ya kaskazini ?onja supu atakayotengeneza mchaga alafu onja ya wapemba .utapata ninachomaanisha
 
Wakristo lazima ukute chumvi imezidi
Mafuta yanaelea
Maharagwe yanakukodolea
Hawajui tumia nazi
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Kwan dini ndio inapika?
 
Nakubaliana moja kwa moja na mtoa mada. Nimelishudia mbele hilo wakuu na si Tanzania tu. WaPakistani ni watundu sana wamapishi kuliko wa WaHindustani. Tena tafauti ni kubwa sana. Ukisikia wahindi kusifika kwa kupika basi ni waPakistan. Na hata ndani ya india. Waislamu ndio mwisho wa matatizo. Mumbai, Hydrabad maeneo ya waislmau utainjoy mno msosi tafauti maeneo ya wahindu watupu.
Kuna vitu katika miaka ya hivi karibuni vimeanza kupuuzwa ktk madrassa zetu na hii inaweza ikawa ni sababu ya mabadiliko ya kiuchumi na kijamii au kujua kwingi
Katika miaka ya zamani tukienda madrassa sio kusoma dini tu ilikuwa na shughuli nyingine kwa mfano kama kuna shamba la mwalimu basi walimaji walikuwa wanafunzi
Wanafunzi ndio tulikienda sokoni, wanafunzi ndio tulikifagia na kufua nguo za Sheikh na Mkewe bila kusahau mapishi na hizi shughuli tukizifanya kwa team work kwa hivyo tunapiga ndege 3 kwa jiwe moja yaani tunamsaidia Mwalimu+ tunasoma dini + tunajifunza life skills. Yamkini hiyo inaweza ikawa sababu ya dada zetu wengi kuwa mahiri ktk kupika

Kupika ni maarifa na kwa wengine ni talanta kuna jamaa tupo naye hapa Muscat jamaa ni Muhaya lakini anapika Biryani na pilau balaa hao wapakistani na wahindi wenyewe wanasubiri. Mtu yeyote duniani aweza jifunza kupika na akawa mahiri ktk fani hiyo bila kujali asili yake au dini yake

"Utamu wa pipi mate yako" si kila chakula ambacho ni kitamu kwako lazima kiwe hivyo kwangu kuna vitu sijui tumerithishwa au viko kihisia zaidi kwa mfano mtu anayetoka mikoa ya kusini atavyosifia ming'oko ni tofauti na mtu wa kaskazini au baadhi ya watu watavyosifia utamu wa bia, nyanya chungu, kahawa chungu au hata kikombe cha juice ya pilipili na supu ya chura kwa wabangladesh au kwa wali + mchuzi wa Wamalaysia wanaotia sukari to strike the balance is very difficult

Tunakula ili tufurahi au ili tuishi ??
Dunia hivi sasa inasumbuliwa na Lifestyle diseases na mojawapo ya kisababishi kikubwa ni vyakula na bahati mbaya zaidi vyakula vyenye ladha nzuri vimeonekana ndio visababishi vikubwa vya maradhi haya hivyo wakati tunajadiliana na utamu wa mavyakula ni muhimu kuwakumbuka kina Kansa, Kisukari, BP, bila Kusahau Figo. Na mwisho niseme
" Take your breakfast like a King, your lunch like a Prince and your dinner like a beggar"





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata chipsi za Wapemba au watu WaTanga zipo poa sana. Nenda pale njia panda ya Segerea kwenye mataa, kuna Mtanga mmoja pale kashika soko balaa.
Nje ya mabibo hosteli,kuna hoteli moja inaitwa kwa wapemba,ebana pale pilau lao huwa ni balaa!Sijui kama wapo siku hizi au vipi maana ilikuwa 2014 mara ya mwisho kula pale!
 
Kuna ki restaurant hapa arusha kinaitwa mwambao kinamilikiwa na wazenji kuna pilau mbuzi haijawahi kutokea, hapa kesho Christmas nina mpango wa ku lunch pale
Ni pilau inayosifika zaidi hapa arusha
Watu wa pwani wanajua kupika sababu maeneo yao kuna spices nyingi na wamekuwa nazo wanafahamu kuzitumia vizuri
Pilau ya pale si ya kitoto, mbuzi mlainiiii
 
Hawajui baba angu...wanadhani kupika ni pilau na biriani tu baabaa angu...kuna mapishi hawajui kabisa.......wakipika mtori usishangae wakijaza mdalasini nA ilikii etiii
Utamu wa mtori pilipili manga
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Unaijua adhabu ya kumbadilisha MTU kutoka dini ya allah hadi awe kafir?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom