zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Uchagani.umeshawahi kunywa supu mikoa ya kaskazini ?onja supu atakayotengeneza mchaga alafu onja ya wapemba .utapata ninachomaanishaDah tukuwache tu mkuu bora. hatuwezi kujua mazingira yako unakotoka na ulivo yapo vipi
Uchagani.umeshawahi kunywa supu mikoa ya kaskazini ?onja supu atakayotengeneza mchaga alafu onja ya wapemba .utapata ninachomaanisha
Kwan dini ndio inapika?Mimi ni Mkristo!
Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!
Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Tutakuajiri wewe uwe ukikuna nazi tuweke kwenye kitimoto.Wakristo lazima ukute chumvi imezidi
Mafuta yanaelea
Maharagwe yanakukodolea
Hawajui tumia nazi
Kuna vitu katika miaka ya hivi karibuni vimeanza kupuuzwa ktk madrassa zetu na hii inaweza ikawa ni sababu ya mabadiliko ya kiuchumi na kijamii au kujua kwingiNakubaliana moja kwa moja na mtoa mada. Nimelishudia mbele hilo wakuu na si Tanzania tu. WaPakistani ni watundu sana wamapishi kuliko wa WaHindustani. Tena tafauti ni kubwa sana. Ukisikia wahindi kusifika kwa kupika basi ni waPakistan. Na hata ndani ya india. Waislamu ndio mwisho wa matatizo. Mumbai, Hydrabad maeneo ya waislmau utainjoy mno msosi tafauti maeneo ya wahindu watupu.
Tutakuajiri wewe uwe ukikuna nazi tuweke kwenye kitimoto.
Nje ya mabibo hosteli,kuna hoteli moja inaitwa kwa wapemba,ebana pale pilau lao huwa ni balaa!Sijui kama wapo siku hizi au vipi maana ilikuwa 2014 mara ya mwisho kula pale!Hata chipsi za Wapemba au watu WaTanga zipo poa sana. Nenda pale njia panda ya Segerea kwenye mataa, kuna Mtanga mmoja pale kashika soko balaa.
Pilau ya pale si ya kitoto, mbuzi mlainiiiiKuna ki restaurant hapa arusha kinaitwa mwambao kinamilikiwa na wazenji kuna pilau mbuzi haijawahi kutokea, hapa kesho Christmas nina mpango wa ku lunch pale
Ni pilau inayosifika zaidi hapa arusha
Watu wa pwani wanajua kupika sababu maeneo yao kuna spices nyingi na wamekuwa nazo wanafahamu kuzitumia vizuri
Utamu wa mtori pilipili mangaHawajui baba angu...wanadhani kupika ni pilau na biriani tu baabaa angu...kuna mapishi hawajui kabisa.......wakipika mtori usishangae wakijaza mdalasini nA ilikii etiii
Unaijua adhabu ya kumbadilisha MTU kutoka dini ya allah hadi awe kafir?Mimi ni Mkristo!
Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!
Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?