Kwanini mikate mingi ina mchanga siku hizi?

Kwanini mikate mingi ina mchanga siku hizi?

Fundi_Mjasiriamali

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2018
Posts
748
Reaction score
1,340
Wakuu habarini za usiku,

Ni muda nimekuwa mtumiaji mzuri wa mkate katika kifungua kinywa cha asubuhi, lakini nime-kutana na changamoto ya kitafunwa hichi kuwa na chembe chembe za michanga ndani yake. Nimejaribu kubadili brand mbali mbali lakini naona hali ni ile ile.

Je, hali hii inasabishwa na mazingira ya uandaji wa mikate hii kabla ya kumfikia mlaji, au ni ngano wakati wa kuvuna na kusaga, au ni viwanda bubu vya mtaani ambavyo havina mazingira rafiki ya uzalishaji, au ni vyombo vinavyotumika huko viwandani au shida ni nini, au ni mamlaka husika kutokufanya ukaguzi kwenye viwanda!?

Kuna haja ya mamlaka ya chakula kufatilia hili, maana imekuwa kero kuanzia shida ya meno mpaka afya kiujumla.

Nawasilisha
 
Mnapenda sana na kuendekeza anasa kwa kula kula mikate hovyo hovyo wakati kuna mbadala magimbi, mihogo na viazi. Endeleeni tu kuparamia iyo mikate mwishowe appendix itajaa michanga mtaingia matatizoni na gharama kwenda kutoa appendix.

Badilikeni aseeh!
 
Mnapenda sana na kuendekeza anasa kwa kula kula mikate hovyo hovyo wakati kuna mbadala magimbi, mihogo na viazi. Endeleeni tu kuparamia iyo mikate mwishowe appendix itajaa michanga mtaingia matatizoni na gharama kwenda kutoa appendix.

Badilikeni aseeh!
Duuh! Mkuu, kumbe kula mkate ni anasa ?
 
Wakuu habarini za usiku,

Ni muda nimekuwa mtumiaji mzuri wa mkate katika kifungua kinywa cha asubuhi, lakini nime-kutana na changamoto ya kitafunwa hichi kuwa na chembe chembe za michanga ndani yake. Nimejaribu kubadili brand mbali mbali lakini naona hali ni ile ile.

Je, hali hii inasabishwa na mazingira ya uandaji wa mikate hii kabla ya kumfikia mlaji, au ni ngano wakati wa kuvuna na kusaga, au ni viwanda bubu vya mtaani ambavyo havina mazingira rafiki ya uzalishaji, au ni vyombo vinavyotumika huko viwandani au shida ni nini, au ni mamlaka husika kutokufanya ukaguzi kwenye viwanda!?

Kuna haja ya mamlaka ya chakula kufatilia hili, maana imekuwa kero kuanzia shida ya meno mpaka afya kiujumla.

Nawasilisha
Unga unawekwa mchanga na wafanyabiashara hujajua tu mkuu
 
Wakuu habarini za usiku,

Ni muda nimekuwa mtumiaji mzuri wa mkate katika kifungua kinywa cha asubuhi, lakini nime-kutana na changamoto ya kitafunwa hichi kuwa na chembe chembe za michanga ndani yake. Nimejaribu kubadili brand mbali mbali lakini naona hali ni ile ile.

Je, hali hii inasabishwa na mazingira ya uandaji wa mikate hii kabla ya kumfikia mlaji, au ni ngano wakati wa kuvuna na kusaga, au ni viwanda bubu vya mtaani ambavyo havina mazingira rafiki ya uzalishaji, au ni vyombo vinavyotumika huko viwandani au shida ni nini, au ni mamlaka husika kutokufanya ukaguzi kwenye viwanda!?

Kuna haja ya mamlaka ya chakula kufatilia hili, maana imekuwa kero kuanzia shida ya meno mpaka afya kiujumla.

Nawasilisha
Anza kula samosa like me hutojuta mkuu tena ina pilipili kwa mbaali acha tu
 
Unaonaga jinsi mikate inavyosafirishwa...inafungwa hadi kwenye tairi za boda boda...unatengeme nn hapo..Cha msingi ninja mikate directly kwenye bakery au kwenye centre ambayo wazalishaji wanadiatribute wenyewe..achana na tabia ya kununua mikate mangi shop.
 
Back
Top Bottom