Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Wala hawajalala.Kila siku wanapita kwa wafanyabiaahara na kuwatoza tozo(rushwa,hongo,mlungula?)Mamlaka Zimelala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala hawajalala.Kila siku wanapita kwa wafanyabiaahara na kuwatoza tozo(rushwa,hongo,mlungula?)Mamlaka Zimelala.
Bugia magimbi kwa afya yako!Hayana mchanga😝😝😝[emoji16][emoji16] angalieni mnaweza kujikuta mnajuta ninyi
Achana na mimi kabisa [emoji16][emoji16]Bugia magimbi kwa afya yako!Hayana mchanga[emoji13][emoji13][emoji13]
Na Mimi nakazia. Ni kweli mikate mingi ya siku hizi nishakuta michanga na tuvidude tweusi. Bora ya kununua mihogo na kuichemsha home.Mnapenda sana na kuendekeza anasa kwa kula kula mikate hovyo hovyo wakati kuna mbadala magimbi, mihogo na viazi. Endeleeni tu kuparamia iyo mikate mwishowe appendix itajaa michanga mtaingia matatizoni na gharama kwenda kutoa appendix.
Badilikeni aseeh!
Hapa Nachingwea naipataje mkuu?mkate wa ukwel kjna azam na super loaf
Ndio kulala huko kusahau majukumu yao na kujali vitu vinavyomkandamiza mfanyabiashara na wakati huo huo matatizo yote yatamfikia mtu wa mwisho ambaye ni mlaji.Wala hawajalala.Kila siku wanapita kwa wafanyabiaahara na kuwatoza tozo(rushwa,hongo,mlungula?)
Kula magimbi kijana wangu.Inajenga afya ya mwili kama matembele kwa chai.Achana na mimi kabisa [emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] matembele kwa chaiKula magimbi kijana wangu.Inajenga afya ya mwili kama matembele kwa chai.
Mihogo inanunuliwa!Na Mimi nakazia. Ni kweli mikate mingi ya siku hizi nishakuta michanga na tuvidude tweusi. Bora ya kununua mihogo na kuichemsha home.
Hujawahi kupata hiyo staftahi?Ipo murua sana.Unashushia na juisi ya bamia.😂😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] matembele kwa chai
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we niache bwanaHujawahi kupata hiyo staftahi?Ipo murua sana.Unashushia na juisi ya bamia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kukanda kwa miguu si jambo jipya, kabla ya kuingia mashine za kuksndia unga kukanda kwa miguu lilikuwa jambo la kawaida, usitukane usilolijua.Pumbaf thana [emoji23][emoji23][emoji23]
Wala hakuwa na nia ya kukuudhi.Alifurahi.Kukanda kwa miguu si jambo jipya, kabla ya kuingia mashine za kuksndia unga kukanda kwa miguu lilikuwa jambo la kawaida, usitukane usilolijua.
Ni kweli si jambo jipya ila hapo kilicholeta mshtuko ni uhusiano wa huo mchanga na kukandia miguu...kwamba mtu anatoka kukanyaga mchanga moja kwa moja anaingia kwenye unga?Kukanda kwa miguu si jambo jipya, kabla ya kuingia mashine za kuksndia unga kukanda kwa miguu lilikuwa jambo la kawaida, usitukane usilolijua.
Mbona haujaeleza mkandaji akitokwa jasho analifutaje au analitoaje?😝😝😝Ni kweli si jambo jipya ila hapo kilicholeta mshtuko ni uhusiano wa huo mchanga na kukandia miguu...kwamba mtu anatoka kukanyaga mchanga moja kwa moja anaingia kwenye unga?
Anakandia chumba chenye AC hakuna jasho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona haujaeleza mkandaji akitokwa jasho analifutaje au analitoaje?[emoji13][emoji13][emoji13]
Kweli tupo uchumi wa kati-chini.😂😂😂😂Anakandia chumba chenye AC hakuna jasho[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji12][emoji12]Kweli tupo uchumi wa kati-chini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]