GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kutongoza Mke au Mpenzi wa Rafiki yangu wa Karibu na Kumbandua / Kumpekecha?
Kuwa mwepesi Kushawishika na Mke / Mpenzi wa Rafiki yangu wa Karibu ili nilale nae / nimpekeche?
Je, Mimi ni Mshamba na hiki nikifanyacho ni Ushamba na Uzembe na kwamba hawa 99% ya Wanaume Wenzangu wanaofanya ndiyo Wajanja na wako sahihi kwa 100%?
Kuna Mke wa Rafiki yangu mkubwa tu amejitahidi Kunitega kwa kila namna ili Nimpekeche ( Nimbandue ) ila nimemkatalia kata kata cha Kushangaza sasa ananichukia japo Mimi huyu huyu ( bila ya Yeye kujua ) nimemuokoa Mumewe asimbandue ( asimpekeche ) Mwanamke ambaye namjua kabisa kuwa ameshaathirika na Gitaa la Solo la Dally Kimoko kwakujua kuwa kama Mumewe angeukwaa basi angemuambukiza hata Yeye Shemeji / Shemela wangu Mpendwa Esther.
Kuwa mwepesi Kushawishika na Mke / Mpenzi wa Rafiki yangu wa Karibu ili nilale nae / nimpekeche?
Je, Mimi ni Mshamba na hiki nikifanyacho ni Ushamba na Uzembe na kwamba hawa 99% ya Wanaume Wenzangu wanaofanya ndiyo Wajanja na wako sahihi kwa 100%?
Kuna Mke wa Rafiki yangu mkubwa tu amejitahidi Kunitega kwa kila namna ili Nimpekeche ( Nimbandue ) ila nimemkatalia kata kata cha Kushangaza sasa ananichukia japo Mimi huyu huyu ( bila ya Yeye kujua ) nimemuokoa Mumewe asimbandue ( asimpekeche ) Mwanamke ambaye namjua kabisa kuwa ameshaathirika na Gitaa la Solo la Dally Kimoko kwakujua kuwa kama Mumewe angeukwaa basi angemuambukiza hata Yeye Shemeji / Shemela wangu Mpendwa Esther.