Hivi ndugu zangu naomba niulize ni kwa nini miradi mingi ya serikali huwa inachelewa au kufa kabisa na huku tukishuhudia miradi binafsi ikikamilika kwa muda na viwango vizuri. Shida ni nini?
1. Ukiritimba?
2. Usimamizi mbovu?
3. Poor project planning?
4. Ukosefu wa fedha?
Naomba wajuzi wa mambo watuambie.
Nimepita somewhere leo nikaona bango la mradi wa ujenzi wa barabara ya KM 1 ambayo imepangwa kujengwa ndani ya miezi 6. Miezi ilishapita wameishia kumwaga kifusi.
Nikawa najiuliza
1. Inakuaje serikali kuwa na mradi wa KM1?
2. Kwa nini ijengwe kwa muda wote huo?
Nikakumbuka nipo Afrika, nikaendelea na safari zangu.
1. Ukiritimba?
2. Usimamizi mbovu?
3. Poor project planning?
4. Ukosefu wa fedha?
Naomba wajuzi wa mambo watuambie.
Nimepita somewhere leo nikaona bango la mradi wa ujenzi wa barabara ya KM 1 ambayo imepangwa kujengwa ndani ya miezi 6. Miezi ilishapita wameishia kumwaga kifusi.
Nikawa najiuliza
1. Inakuaje serikali kuwa na mradi wa KM1?
2. Kwa nini ijengwe kwa muda wote huo?
Nikakumbuka nipo Afrika, nikaendelea na safari zangu.
!