Kwanini Mishahara ya watumishi ambao wapo ngazi moja inatofautiana? Je, Utumishi huwa mnafanya kazi kisayansi kweli?

Kwanini Mishahara ya watumishi ambao wapo ngazi moja inatofautiana? Je, Utumishi huwa mnafanya kazi kisayansi kweli?

Moja ya Jambo ambalo sikuwahi kulielewa wakati nipo TZ ni hili!

MD aliemaliza MUHAS na kwenda kufanya kazi Hospital za Wilaya , hardly kuwa na take home inayozidi laki 9 . The same MD aliyemaliza MUHAS akaenda MNH , take home yake inazidi 1M . Wote hawa wawili wapo level moja ya UDAKTARI wote ni general physician , or general nurse or general famacist!

Nurse anaefanya kazi tumbi na Nurse anaefanya kazi NIMR level ile ile, mmoja atalipwa laki 7 na mwingine atakuwa na take home ya 1.5 , wote walisoma MUHAS na wote wakaajiriwa kwa wakati mmoja na wote mishahara yao inatoka serikali kuu haijalishi ni taasisi au ni Hospital lakin wote ni watumishi wa Umma wenye level moja but taasisi tofauti

Mfamasia anaefanya kazi Hospital ya Wilaya ya Kigonsera huko Songea level ile ile , elimu ile ile , chuo kile kile…. na mwenzie alieajiriwa TMDA watakuwa na mishahara tofauti na benefit tofauti. Wa Kigonsera atalipwa take home ya laki 7 na wa TMDA atalipwa take home 2M.

Sasa hoja ya msingi Utumishi mtuambie, ni nini tofauti ya hawa wawili ya KIMSIMGI? NASISITIZA HAWA WATU WANAMADARAJA SAWASAWA ..LETS SAY WOTE WAMETOKA SHULE LEO NA KWENDA KUAJIRIWA TAASISI 2 TOFAUTI

kwanini hawa watu wawe na salary tofauti na benefits tofauti? Mmoja alipwe laki 7 mwingine 1.5M ……I don’t understand what does that mean ?

Je mnatumia vigezo gani?
Hivi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul the Innocent na Mkuu wa Mkoa Dar , Tabora?wanamishahara tofauti?
Je Waziri wa Afya anamshahara tofauti na Waziri wa elimu?

Kama Jibu ni hapana, kwanini Lower cadre of the same level wana differ ?

Au kosa na dhambi ni kuajiriwa Halmashauri na huyu mwingine blessing ni kuwa MOI?MNH TMDA TBS ?

Sina maana watu washushwe MISHAHARA hapana, namaqnisha STANDARDIZATION ya Mishahara ya watumishi ni LAZIMA. Wale wa chini nao waje juu, kuwe na standardization ya benefits pia.Kama hawa watalipwa Usafiri na communication allowance na food allowance basi na hawa walipwe…..si ni wote watumishi wa Umma? Wote wanitumikia serikali ile ile … sasa iweje watu wa ngazi moja wawe na salary tofauti chini ya Utumishi mmoja, nchi moja??

Why ?

Hili Utumishi mnatakiwa mfanye study kisha muje na STANDARDIZATION Ya mishara ya watumishi wote..nchi nzima. otherwise ni monkeys see monkeys do ….. shame

Dr Megalodon
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Kaka umeongea Point sana.
Serikalini wamekaa watu wenye uwezo mdogo sana tatizo ndio wenye maamuzi
 
Mkuu jibu ni hili...

Ni kweli wote wamemaliza mwaka mmoja, level moja, na Chuo kimoja lakini tofauti inakuja kwenye uwezo hawawezi wakawa na uwezo sawa lazima watofautiane...

Sasa wanajuaje huyu anauwezo kushinda mwingine, hapo sasa ndio linakuja suala la qualifications ume-performance vipi.

Hapo ndipo tofauti inaanza una GPA ya ngapi? Na katika interview ya kazi hiyo uli-perform kiwango gani uhusiano utakaopatikana hapo ndio utaamua upangwe wapi!

Kama GPA ni ndogo na katika usahili performance ni yakawaida basi unajikuta upo wilayani huko(HALMASHAURI).

Na kama GPA ni kubwa na ukaperform vizuri katika usaili wa hiyo kazi/nafasi basi unajikuta katika Taasisi na wizarani huko.

Haya ni mawazo yangu mkuu hembu jaribu kuichunguza na wewe.
Hujatumia akili kabisa yani ww n kilaza sana asee...unakuta ajira imetangazwa ya Halmashaur wenye maakili na MaGPA wameomba wametoboa baadae inatangazwa ya MNH wanaomba waliokosa Halmashaur wanaomba huko MNH wanapenya.
 
Mkuu jibu ni hili...

Ni kweli wote wamemaliza mwaka mmoja, level moja, na Chuo kimoja lakini tofauti inakuja kwenye uwezo hawawezi wakawa na uwezo sawa lazima watofautiane...

Sasa wanajuaje huyu anauwezo kushinda mwingine, hapo sasa ndio linakuja suala la qualifications ume-performance vipi.

Hapo ndipo tofauti inaanza una GPA ya ngapi? Na katika interview ya kazi hiyo uli-perform kiwango gani uhusiano utakaopatikana hapo ndio utaamua upangwe wapi!

Kama GPA ni ndogo na katika usahili performance ni yakawaida basi unajikuta upo wilayani huko(HALMASHAURI).

Na kama GPA ni kubwa na ukaperform vizuri katika usaili wa hiyo kazi/nafasibasi unajikuta katika Taasisi na wizarani huko.

Haya ni mawazo yangu mkuu hembu jaribu kuichunguza na wewe.
Ww hujaelewa kabisaaa tunachoongea ,kila kitu mnafanana mfano GPA,Jinsia,Chuo ,kozi na interview mnatoboa wote ww upangiwe MUHAS yenye vifaa vzr ulipwe Million
4,alafu mm nipangwe Masasi ambayo huduma kwanza za shida afu nilipwe laki 7 kwl
 
Moja ya Jambo ambalo sikuwahi kulielewa wakati nipo TZ ni hili!

MD aliemaliza MUHAS na kwenda kufanya kazi Hospital za Wilaya , hardly kuwa na take home inayozidi laki 9 . The same MD aliyemaliza MUHAS akaenda MNH , take home yake inazidi 1M . Wote hawa wawili wapo level moja ya UDAKTARI wote ni general physician , or general nurse or general famacist!
Kwa nini unazungumzia take home ambayo muda wowote inaweza kubadilishwa na mkopo wa bank au wa masomo au jambo lolote la kutakiwa kukatwa katika kituo cha kazi?
 
Nafanya kazi private, naelewq unachoongea. Private wanaajiri Competency …. Na in private salary itatofautiana na mtu mlioingia nae sawa kutokana na bargain power yako. That is not Utumishi. Nimefanya kazi Serikalini pia

Nielezee, I am general physian fresh from school , na we ni general physian fresh from school . Nikaajiriwq MUHAS na wewe Ukaenda NIMRI. Huko NIMR unakula 4 M ON MONTHLY….. MUHAS nakula 1.2 tu ;

Tell me hiyo range ya mishahara unayozungumzia we ina base kwenye nini ?

what is range by the way ….?

As for utumishi mshahara utatofautiana kulingana namba of years ofisini, na specialization

Mtu wa NIMR atafanya kazi aliyoomba, Mtu wa MUHAS atafanya kazi aliyoomba….. wapo daraja moja wote watumishi wote wapo chini Utumishi…….what is the privelege wa MUHAS ale 1.2 with his ass off from morning to evening and wa NIMR ale 4M

This is what I am Talking

Be realistic , make sure unaeelwa the context
4 m? Endeleeni kudanganyana
 
Hujatumia akili kabisa yani ww n kilaza sana asee...unakuta ajira imetangazwa ya Halmashaur wenye maakili na MaGPA wameomba wametoboa baadae inatangazwa ya MNH wanaomba waliokosa Halmashaur wanaomba huko MNH wanapenya.
Mi nadhani logic behind ndio hiyo ya tofauti ya performance hasa tangazo likitangazwa pamoja (MDA'S AND LGA'S)

Ila udhaifu wa huu mfumo hawakuaangalia kwa upana kua vipi ikitokea siku halmashauri inauhaba wa watumishi ikatoa tangazo kivyake inamaana itapata watu best na haiwezi ikawaacha.

Sasa kama ni kulaumu basi alaumiwe aliyeomba hiyo kazi na kusini mkataba... Inamaana awe anachagua kazi/anaomba za wizara Taasisi na mashilika tu, zikitoka za halmashauri awe anaacha, kitu ambacho ni ngumu kukifanya kwa usawa huu wa ajira chache.
Hapo kila mmoja ana equal chance.
unakuta ajira imetangazwa ya Halmashaur wenye maakili na MaGPA wameomba wametoboa baadae inatangazwa ya MNH wanaomba waliokosa Halmashaur wanaomba huko MNH wanapenya.

😁😁😁Tatizo liko kwenye mshahara...

Yani mshahara ukiwa sawa kwa wote watu wa halmashauri watakua wanaadvantage zaidi... Na hawa wakwenye Taasisi watalalamika kwakua kunautofauti wa majukumu mkubwa tu unaogharimu muda na gharama za maisha.
 
Ww hujaelewa kabisaaa tunachoongea ,kila kitu mnafanana mfano GPA,Jinsia,Chuo ,kozi na interview mnatoboa wote ww upangiwe MUHAS yenye vifaa vzr ulipwe Million
4,alafu mm nipangwe Masasi ambayo huduma kwanza za shida afu nilipwe laki 7 kwl
Basi hapo ni tofauti ya majukumu ya kazi ndio inasababisha.

We fikiria soda(Pepsi) ya kwamama ntilie ni 600, pia Pepsi hiyo hiyo ni 2000 ukiingia hotelini sasa nini kimeleta tofauti, bila shaka ni tofauti ya mazingira na huduma katika hayo maeneo mawili.
 
Basi hapo ni tofauti ya majukumu ya kazi ndio inasababisha.

We fikiria soda(Pepsi) ya kwamama ntilie ni 600, pia Pepsi hiyo hiyo ni 2000 ukiingia hotelini sasa nini kimeleta tofauti, bila shaka ni tofauti ya mazingira na huduma katika hayo maeneo mawili.
Umechukulia Pepsi umeenda nje Mama ntilie linganisha na mama ntilie alafu hotel vs Hotel....

Kazi za Halmashauri Ya Tabora haziwezi kutofautiana na Singida...ila mishahara inatofautiana...La msingi hapa ni kuwa hakuna usawa hapa Duniani kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
 
Moja ya Jambo ambalo sikuwahi kulielewa wakati nipo TZ ni hili!

MD aliemaliza MUHAS na kwenda kufanya kazi Hospital za Wilaya , hardly kuwa na take home inayozidi laki 9 . The same MD aliyemaliza MUHAS akaenda MNH , take home yake inazidi 1M . Wote hawa wawili wapo level moja ya UDAKTARI wote ni general physician , or general nurse or general famacist!

Nurse anaefanya kazi tumbi na Nurse anaefanya kazi NIMR level ile ile, mmoja atalipwa laki 7 na mwingine atakuwa na take home ya 1.5 , wote walisoma MUHAS na wote wakaajiriwa kwa wakati mmoja na wote mishahara yao inatoka serikali kuu haijalishi ni taasisi au ni Hospital lakin wote ni watumishi wa Umma wenye level moja but taasisi tofauti

Mfamasia anaefanya kazi Hospital ya Wilaya ya Kigonsera huko Songea level ile ile , elimu ile ile , chuo kile kile…. na mwenzie alieajiriwa TMDA watakuwa na mishahara tofauti na benefit tofauti. Wa Kigonsera atalipwa take home ya laki 7 na wa TMDA atalipwa take home 2M.

Sasa hoja ya msingi Utumishi mtuambie, ni nini tofauti ya hawa wawili ya KIMSIMGI? NASISITIZA HAWA WATU WANAMADARAJA SAWASAWA ..LETS SAY WOTE WAMETOKA SHULE LEO NA KWENDA KUAJIRIWA TAASISI 2 TOFAUTI

kwanini hawa watu wawe na salary tofauti na benefits tofauti? Mmoja alipwe laki 7 mwingine 1.5M ……I don’t understand what does that mean ?

Je mnatumia vigezo gani?
Hivi, Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul the Innocent na Mkuu wa Mkoa Dar , Tabora?wanamishahara tofauti?
Je Waziri wa Afya anamshahara tofauti na Waziri wa elimu?

Kama Jibu ni hapana, kwanini Lower cadre of the same level wana differ ?

Au kosa na dhambi ni kuajiriwa Halmashauri na huyu mwingine blessing ni kuwa MOI?MNH TMDA TBS ?

Sina maana watu washushwe MISHAHARA hapana, namaqnisha STANDARDIZATION ya Mishahara ya watumishi ni LAZIMA. Wale wa chini nao waje juu, kuwe na standardization ya benefits pia.Kama hawa watalipwa Usafiri na communication allowance na food allowance basi na hawa walipwe…..si ni wote watumishi wa Umma? Wote wanitumikia serikali ile ile … sasa iweje watu wa ngazi moja wawe na salary tofauti chini ya Utumishi mmoja, nchi moja??

Why ?

Hili Utumishi mnatakiwa mfanye study kisha muje na STANDARDIZATION Ya mishara ya watumishi wote..nchi nzima. otherwise ni monkeys see monkeys do ….. shame

Dr Megalodon
WHO Regional Office
Rue 52, Ottawa
Canada
Ulifaulu mtihani kwa kiwango gani?
Nawe ungeajiriwa TMDA badala ya Tamisemi

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom