crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
- Thread starter
- #21
Mtoa mada, hukatanzwi kwenda kuanzisha Irrigation schemes. Si ajabu hata ziwa ilo ukawa hujaliona live achilia mbali mto.
umeongea nini hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada, hukatanzwi kwenda kuanzisha Irrigation schemes. Si ajabu hata ziwa ilo ukawa hujaliona live achilia mbali mto.
Soma tenaumeongea nini hapa?
Wewe umetumia kipimo gani kuwa haupo hata kumi bora ilhali kama ni discharge upo 7th na catchment area ni wa 9?Sasa ukubwa wa mto unapimwa kwa urefu?
Tulitumie tu, military conflict ni nzuri ili pia na sisi tufanye mazoezi tusije kuwa kama jeshi la Kenya japo ni riskUpdates,
Baada ya utafiti kidogo nimegundua kuwa hili ziwa tunalimiliki kwa location tu na hatuna uhuru nalo.
ndio maana wamisri huwa wanakuja kutuchimbia visima huku ili kutuondolea mawazo ya kutumia maji ya ziwa hili.
inaonekana hata tukiforce inaweza sababisha hata military conflict.
Mto Nile siyo mto mkubwa kabisa Africa, hata kwenye kumi bora haupo. Ma maji yake mengi, zaidi ya asilimia 60 yanatoka Ethiopia na siyo ziwa Victoria. Nakubali kuwa tuna ufala wa kushindwa kutumia ardhi na maji tuliyopewa kufanya kilimo cha umwagiliaji.
Wanakopa pesa na kwenda kujenga daraja la kuvuka baharini ili wapate sifa 'wamependeza' badala ya kwenda kujenga miradi ya umwagiliaji. Tabia za watu limbukeni.
Subiri mradi uishe tutapata picha kamiliUmesema wamisri walipinga sana, tafsiri yake ni kwamba hatuna mamlaka na maji hayo hata kama yapo kwetu.
na kama wametulia maana yake pia hatuyatumii ipasavyo bado wanafaidika wao.
[emoji31][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]Sisi watanzania toka lini tukawa na akili timamu na maarifa? Acha wafaidi wenye maarifa tu
mpaka sasa maji yamefika igunga sheria tabora nzega kahamaMbona kikwete alianzisha mradi wa kuyavuta Maji ya ziwa Victoria kufika Dodoma ila mpaka Sasa yamefika Nzega kuelekea shelui and so on. Huo mradi ulipingwa sana na Misri Hadi kutishia kutuma ndege vita kama tutaendelea mbele na mradi huo.
Unless useme tumechelewa sana ila matumizi yameshaanza na mradi ukikamilika maeneo ya Kanda ya kati yatasahau ukame.
Kipimo cha dicharge rate. Nile haiwezi kuwa ya 7. Weka list. Na ukubwa wa mto haupimwi kwa Catcment area.Wewe umetumia kipimo gani kuwa haupo hata kumi bora ilhali kama ni discharge upo 7th na catchment area ni wa 9?
Asilimi karibu 30 si ndogo. Wanahitaji kila tonekama 60% ya maji ya mto nile yanatoka ethiopia,kwa nini tukiyagusa wamisri wanaongea sana?
unafikiri kwa nini wamisri wanatuchimbia visima sana huku?
Tangu nikiwa shule ya msingi nimekuwa nikisikia habari za mto nile. Mto nile ndio mkubwa zaidi barani Africa na chanzo cha maji yake ni ziwa victoria. Misri wanautumia mto huo kwa kilimo cha umwagiliaji chenye tija sana kwa nchi yao.
Tija ya ziwa hili kwa nchi yetu sijawahi kusikia zaidi ya uvuvi na maneno kwamba Mungu katubariki rasilimali hii na ukifuatilia zaidi hata mikoa inayozunguka ziwa hilo huwa inakubwa na uhaba wa maji.
Kwanini hakuna sifa ya kutia fora kwa nchi yetu juu ya ziwa hili zaidi ya kujisifu tu tunalo?
Kwanini nasi tusitumie kwenye kilimo cha umwagiliaji chenye tija sana kama hao wenzetu wa misri? Shida nini huku kwetu?
Hamna akili ndo shidaTangu nikiwa shule ya msingi nimekuwa nikisikia habari za mto nile. Mto nile ndio mkubwa zaidi barani Africa na chanzo cha maji yake ni ziwa victoria. Misri wanautumia mto huo kwa kilimo cha umwagiliaji chenye tija sana kwa nchi yao.
Tija ya ziwa hili kwa nchi yetu sijawahi kusikia zaidi ya uvuvi na maneno kwamba Mungu katubariki rasilimali hii na ukifuatilia zaidi hata mikoa inayozunguka ziwa hilo huwa inakubwa na uhaba wa maji.
Kwanini hakuna sifa ya kutia fora kwa nchi yetu juu ya ziwa hili zaidi ya kujisifu tu tunalo?
Kwanini nasi tusitumie kwenye kilimo cha umwagiliaji chenye tija sana kama hao wenzetu wa misri? Shida nini huku kwetu?