Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mujibu wa kalenda ya necta siku ya jumatano na Alhamis ndio zimependekezwa ziwe siku za mitihani ya darasa la saba na la nne iwe inafanyika tz nzima.Hii imetokea kwangu na kwa wengine wajuzi wa mambo kwanini mitihani hii tangu enzi na enzi hufanyika sikubya J5?
Mwisho miwatakie kila la kheri wanafunz wanaofanya mitihani yao. Ameen