HeartBreak
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 346
- 28
maisha bora kila mtanzania ndio hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kuyazungumzia sasa yanayomhusu Mkapa kuliko kutoyazungumzia kabisa, aendelee kutanua tu.
1.
1. Mkuu FDR acha jazba, nimeomba ufafanuzi kwanza ndio nitoe hukumu sasa nitende haki ipi hiyo bilka kujua charges?
2. Kwa kutumia hicho kichwa cha habari, kwamba eti CCM itagawanyika kwa sababu ya mkapa? Au kwa sababu ya kutaka achunguzwe? Kwa sababu siioni sababu yoyote ya msingi hapo ya kuifanya CCM iliyokuwepo kabla mkapa hajajiunga nayo (TAA) ya kina Doss Aziz ivunjike, haitavunjika, lakini makpa atachunguzwa na kufikishwa kwenye sheria.
3. Hivi Gembe, hebu kuwa mkweli hivi Makamba toka amekuwa katibu wa CCM, naomba nitajie one thing as a policy au utekelezaji alichowahi kufanya ambacho ni so bad kwamba anahitaji kujiuzulu? Amekaa muda gani kwenye hiyo nafasi kiasi kwamba amevuruga tayari na anahitaji kuondoka?
Ndio maana mkuu FDR niliomba ufafanuzi zaidi, je sasa ninaweza kuupata?
Gembe, mbona itakuwa baraka sana kama utabiri wako wa CCM kugawanyika utakuwa kweli?
Mkuu FMES,unafikiri ni sababu gani iliyofanya KANU ikapoteza Mwelekeo,embu nenda nyumba angalia historia ya KANU kuanzia mwaka 1990 mpaka 2000 utaniona ni kwanini ilifikia ikakosa nguvu nahuku ndiko tunakokwenda.Kumbe ni utabiri? nilifikiri ni fact...kama ni utabiri tu you can have it!
CCM haiwezi kugawanyika kwa sababu ya uchunguzi wa mkapa, haikugawanyika kwa sababu ya Lowassa wala the mighty Chenge, na ilikuwapo kabla wote hawa mafisadi hawajajiunga nayo, pleaseeee!
]Mkuu FMES,unafikiri ni sababu gani iliyofanya KANU ikapoteza Mwelekeo,embu nenda nyumba angalia historia ya KANU kuanzia mwaka 1990 mpaka 2000 utaniona ni kwanini ilifikia ikakosa nguvu nahuku ndiko tunakokwenda.[/B
Gembe
simple Fact,umekuja kwa Jazba,Mie nimesema CCM itagawanyika,wewe umefikia kusem aCCM itafunjika,hiyo ni Conclusion yako
[SIZE="3"]FMES[/SIZE]
CCM haiwezi kugawanyika kwa sababu ya uchunguzi wa mkapa, haikugawanyika kwa sababu ya Lowassa wala the mighty Chenge, na ilikuwapo kabla wote hawa mafisadi hawajajiunga nayo, pleaseeee!
Kuhusu Mzee Makamba,
Alichoharibu ni kushindwa kwanza kumaliza Mgogoro wa Zanzibara,yeye kama aKatibu Mkuu wa Chama ameshindwa kuwashawishi wajumbe wakubali maoni waliyoafiki an CUF badaye akawapotosha kwa kutumia gia kwamba CCM zanzibar wamekataa.tabia ya Unafiki.