Kumbe ni utabiri? nilifikiri ni fact...kama ni utabiri tu you can have it!
CCM haiwezi kugawanyika kwa sababu ya uchunguzi wa mkapa, haikugawanyika kwa sababu ya Lowassa wala the mighty Chenge, na ilikuwapo kabla wote hawa mafisadi hawajajiunga nayo, pleaseeee!
Mkuu FMES,unafikiri ni sababu gani iliyofanya KANU ikapoteza Mwelekeo,embu nenda nyumba angalia historia ya KANU kuanzia mwaka 1990 mpaka 2000 utaniona ni kwanini ilifikia ikakosa nguvu nahuku ndiko tunakokwenda.
simple Fact,umekuja kwa Jazba,Mie nimesema CCM itagawanyika,wewe umefikia kusem aCCM itafunjika,hiyo ni Conclusion yako ila siyo maana yangu,Mie nimeelezea kwa umakini mkubwa hoja yangu,kama unakumbuka Jinsi ambapo Mtandao ulivyoigawa CCM mpaka JK alipotangaza kuvunja Kikundi.
Kuhusu Mzee Makamba,
Alichoharibu ni kushindwa kwanza kumaliza Mgogoro wa Zanzibara,yeye kama aKatibu Mkuu wa Chama ameshindwa kuwashawishi wajumbe wakubali maoni waliyoafiki an CUF badaye akawapotosha kwa kutumia gia kwamba CCM zanzibar wamekataa.tabia ya Unafiki.
Suala lingine ni kwa yeye makamba kumtetea Lowassa kipindi cha Kashafa ya RDC,na bila Heshima ya Jk kwa tingatinga Basi huu ndio ulikuwa Mwanzo wa CCM kuanza kugawanyika.Heshima Mbele kwa Malechela.
Tatu,
Mhe. Makamba ameshindwa kumaliza migogoro ambyo inaendelea katika Chama,hususiani kati ya viongozi katika mikoa na wilaya,na migongano mingine inamhusu yeye mwenyewe,mfano huko Tanga ambako yeye hauziki.
Mgogoro wa CCM, mbeyea,Je yeye amesimamia wapi?watu hawajui ni nani kiongozi na nani siyo kiongozi.hili ni tatyizo na limeanzia juu.