Kwanini Mkoa wa Mara wana Mwenge wao Tofauti na Mwenge wa Uhuru?

Kwanini Mkoa wa Mara wana Mwenge wao Tofauti na Mwenge wa Uhuru?

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mkuu wa Mkoa wa Mara amewakaribisha viongozi, watendaji na wananchi wote kushiriki katika maadhimisho ya miaka 60 ya Mwenge wa Mwitongo yatakayofanyika nyumbani kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Mwitongo tarehe 1 Agosti, 2024.

Mwenge wa Mwitongo ni mwenge wa Kabila la Wazanaki ambao upo Nyumbani kwa Baba wa Taifa na unawashwa kila mwaka Mbio za Mwenge wa Uhuru zikiwa katika Mkoa wa Mara tangu mbio hizo zilipoanzishwa mwaka 1964.

MY TAKE;

1. Je, Sheria za Nchi zinautambua?

2. Je, ni kweli kwamba ni Mbadala wa Mwenge wa Uhuru pindi atakapotea Rais ambaye hana Mapenzi na Mwenge wa Uhuru na akauweka Makumbusho, kwamba huo wa Mwitongo ndo utaendelea kuwashwa kama mbadala?
20240727_072731.jpg
20240727_072738.jpg
mwalimu_mwenge.jpg

Mwenge wa uhuru ukiwa unawasha mwenge wa asili ulioko Mwitongo nyumbani kwa Baba wa Taifa wilayani Butiama mkoani Mara

Tangu kuwashwa kwa mwenge wa Uhuru mwaka 1961, mwenge wa Mwitongou liopo nyumbani kwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere huwau nawashwa kila mwaka na unajizima wenyewe baada ya mafuta kuisha.
 
Mwenge mwenge kitu gani? tusijaze Server za jf na vitu vya kipuuzi sana na vya kijima na vya enzi za giza, enzi za Communism, enzi za ujinga.

Wenzetu wako na discusion za jinsi ya kwenda kulima mchicha mwezini sisi tunawaza rangi za mmwenge? Real? tunajadili rangi za mwenge? Kwamba tuanze kuteketeza Mb kujadili rangi za mwenge?

Huo mwenge ni moja ya vitu vya kipuuzi vinavyo patikana Tanzania, yaani ni zaidi ya upuuzi, na wanao shangilia huo mwenge ni wapuuzi zaidi ya huo mwenge wenyewe.
 
Mwenge mwenge kitu gani? tusijaze Server za jf na vitu vya kipuuzi sana na vya kijima na vya enzi za giza, enzi za Communism, enzi za ujinga.

Wenzetu wako na discusion za jinsi ya kwenda kulima mchicha mwezini sisi tunawaza rangi za mmwenge? Real? tunajadili rangi za mwenge? Kwamba tuanze kuteketeza Mb kujadilu rangi za mwenge?

Huo mwenge ni moja ya vitu vya kipuuzi vinavyo patikana Tanzania, yaani ni zaidi ya upuuzi, na wanao shangilia huo mwenge ni wapuuzi zaidi ya huo mwenge wenyewe.
Huwa nakusoma Sana....Una mawazo mazuri na hakika unatamani uione Tanzania flani hivi amazing Sana.
The only problem hujui ni wapi na lini uandike hizi harakati zako wewe kila Uzi unataka watu wajadili Mambo serious....mkuu kila jambo na wakati wake.
 
Mwenge mwenge kitu gani? tusijaze Server za jf na vitu vya kipuuzi sana na vya kijima na vya enzi za giza, enzi za Communism, enzi za ujinga.

Wenzetu wako na discusion za jinsi ya kwenda kulima mchicha mwezini sisi tunawaza rangi za mmwenge? Real? tunajadili rangi za mwenge? Kwamba tuanze kuteketeza Mb kujadili rangi za mwenge?

Huo mwenge ni moja ya vitu vya kipuuzi vinavyo patikana Tanzania, yaani ni zaidi ya upuuzi, na wanao shangilia huo mwenge ni wapuuzi zaidi ya huo mwenge wenyewe.
Hayo ni mtambiko, China Japan na nchi nyingi za Asia pamoja na kua zime endelea wana heshimu mila zao binafsi sina ubaya na Mwenge ila nakwazika unapo tumika kama kichaka cha kupigia pesa za umma
 
Hayo ni mtambiko, China Japan na nchi nyingi za Asia pamoja na kua zime endelea wana heshimu mila zao binafsi sina ubaya na Mwenge ila nakwazika unapo tumika kama kichaka cha kupigia pesa za umma
Matambiko after matambiko tunaweza zalisha hata wembe? acha ujinga wewe, Ile Karikoo imejaaa product za kutoka nje kwa asilimia 100.

Wajapani na Wachina wanawekeza kwenye elimu sio kwenye huo ujinga wenu, huo nwenge sio Matambuko ni ujinga kutoka kwa watu wajinga.
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara amewakaribisha viongozi, watendaji na wananchi wote kushiriki katika maadhimisho ya miaka 60 ya Mwenge wa Mwitongo yatakayofanyika nyumbani kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Mwitongo tarehe 1 Agosti, 2024.

Mwenge wa Mwitongo ni mwenge wa Kabila la Wazanaki ambao upo Nyumbani kwa Baba wa Taifa na unawashwa kila mwaka Mbio za Mwenge wa Uhuru zikiwa katika Mkoa wa Mara tangu mbio hizo zilipoanzishwa mwaka 1964.

MY TAKE;

1. Je, Sheria za Nchi zinautambua?

2. Je, ni kweli kwamba ni Mbadala wa Mwenge wa Uhuru pindi atakapotea Rais ambaye hana Mapenzi na Mwenge wa Uhuru na akauweka Makumbusho, kwamba huo wa Mwitongo ndo utaendelea kuwashwa kama mbadala?
View attachment 3053298View attachment 3053299View attachment 3053300
Mwenge wa uhuru ukiwa unawasha mwenge wa asili ulioko Mwitongo nyumbani kwa Baba wa Taifa wilayani Butiama mkoani Mara

Tangu kuwashwa kwa mwenge wa Uhuru mwaka 1961, mwenge wa Mwitongou liopo nyumbani kwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere huwau nawashwa kila mwaka na unajizima wenyewe baada ya mafuta kuisha.
Mwenge wa Mwitongo....Dhahabu ya butiama inapigwa na wachina kama ZEM...sisi tuko busy kukimbiza mwenge wa Mwitongo
 
enzi za giza, enzi za Communism, enzi za ujinga.
Tusaidie nasi tujue, kuanzia mwenge ulipowashwa Mwaka 1961 hadi sasa, ni mwaka gani Enzi za giza ziliisha? Je Ujinga umeisha Duniani?
Wenzetu wako na discusion za jinsi ya kwenda kulima mchicha mwezini
Kwa mapori na mabonde tuliyonayo Tanzania tuyaache twende kupanda mchicha mwezini. Ama kweli bangi inasingiziwa. Bora ungehimiza japo Tanzania iwe na satellite yake ningejua una mawazo mapana. Kumbe bado unatamani ukapande mchicha mwezini usaidie nchi yako🤣🤣🤣
Huo mwenge ni moja ya vitu vya kipuuzi
Unaweza ukawa una point, tusaidie kutuambia upuuzi wa mwenge nasi tuelewe.
 
Mkuu wa Mkoa wa Mara amewakaribisha viongozi, watendaji na wananchi wote kushiriki katika maadhimisho ya miaka 60 ya Mwenge wa Mwitongo yatakayofanyika nyumbani kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Mwitongo tarehe 1 Agosti, 2024.

Mwenge wa Mwitongo ni mwenge wa Kabila la Wazanaki ambao upo Nyumbani kwa Baba wa Taifa na unawashwa kila mwaka Mbio za Mwenge wa Uhuru zikiwa katika Mkoa wa Mara tangu mbio hizo zilipoanzishwa mwaka 1964.

MY TAKE;

1. Je, Sheria za Nchi zinautambua?

2. Je, ni kweli kwamba ni Mbadala wa Mwenge wa Uhuru pindi atakapotea Rais ambaye hana Mapenzi na Mwenge wa Uhuru na akauweka Makumbusho, kwamba huo wa Mwitongo ndo utaendelea kuwashwa kama mbadala?
View attachment 3053298View attachment 3053299View attachment 3053300
Mwenge wa uhuru ukiwa unawasha mwenge wa asili ulioko Mwitongo nyumbani kwa Baba wa Taifa wilayani Butiama mkoani Mara

Tangu kuwashwa kwa mwenge wa Uhuru mwaka 1961, mwenge wa Mwitongou liopo nyumbani kwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere huwau nawashwa kila mwaka na unajizima wenyewe baada ya mafuta kuisha.
Mwenge una faida gani katika nyakati ni matumizi mabaya ya fedha
 
Back
Top Bottom