Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

Ngojea niende kwa watani wangu wa Kibena niwaokoe na Maradhi ya Ukimwi. Wabena nitafuteni nipate kuwatibia Maradhi ya Ukimwi mupate kupona.Ingawa nilikuja kwenu mukanilisha Pombe ya Ulanzi nikatandikwa na Baba yangu bakora kwa kunywa hiyo Pombe ya Ulanzi. Nilifikiri hiyo Pombe ya Ulanzi ni Togwa kama vile sisi Wazaramo tunavyopenda kunywa Togwa kumbe ni Pombe hahahhaahh. Mulinipatia sana kuninywesha pombe ya Ulanzi haya nitafuteni nipate kuwatibia mupate kupona.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili Herbalist mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Herbalist MziziMkavu
 
Mkuu, jaribu kuishawishi wizara ya afya ikubaliane na tiba yako scientifically.
 
Kama ni hivyo, Dar es salaam ingeongoza
 
Itakua takwimu zinaonyesha hivo kwa kua wtu wa njombe wanapima sana. Wanakubali kupima si kama mikoa mingine. Yaani njombe iishinde dar kwa ngono, si amini et.
 
Can be true somehow

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni hivyo, Dar es salaam ingeongoza
Unajua mtu akienda kutibiwa dar basi ni lazima iwe muhimbili au lugalo na lazima anaenda kutibiwa tatizo lililoonekana kushindikana sehemu zingine zote ndo akapelekwa huko... Ukifikiri utaelewa
 
Itakua takwimu zinaonyesha hivo kwa kua wtu wa njombe wanapima sana. Wanakubali kupima si kama mikoa mingine. Yaani njombe iishinde dar kwa ngono, si amini et.
Hii haiwezikuwa sababu. Hali siyo nzuri Njombe.Ni Hatari!!
 
Unajua mtu akienda kutibiwa dar basi ni lazima iwe muhimbili au lugalo na lazima anaenda kutibiwa tatizo lililoonekana kushindikana sehemu zingine zote ndo akapelekwa huko... Ukifikiri utaelewa
Braza, sijakurupuka kuwe huu Uzi. Watu wanaumia kweli ujue? Nimefanikiwa kutembelea mikoa mingi nikatafiti kwa utafiti usio rasmi sana ila akubaliana kabisa na takwimu za serikali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…