Kwanini Mkoa wa Njombe unaongoza kwa maambukizi ya HIV Tanzania?

mkuu Njombe Ukimwi upo sana hasa wanawake wajawazito mila za kurithishana na mfumo dume
 
baridi inachangi sana, hivyo watu hufanya mapenzi kadri iwezekanavyo
 
mkuu njombe ni moja ya mkoa wenye baridi kali hivo kuchangia kuongeza hamasa ya kufanya ngono afu pia njombe bado suala la elimu halijapewa kipaumbele cha kutosha wanaendekeza sana tamaduni sehemu ambayo haina kipaumbele cha elimu unadhani wataelewa somo la kupambana na maambukiz ya Vvu?
 
Takwimu zinaonyesha maambukizi njombe ni 14.8% na ndo mkoa unaoongoza. Sababu za maambukizi ya VVU kuwa juu ni:-

Moja, Biashara ya viazi mviringo. Biashara hii huwaleta wafanyabiashara na madereva, matingo wa malory, na makuli ambao hulala vijijini wakikusanya na kupakia viazi. Watu hawa kwa kuwa na fedha hufanya sana ngono zembe na wanawake wa vijijini.

Mbili, Tohara kwa wanaume haikwepo kwa Kabila la wabena, pangwa nk.

Tatu, idadi ya wanawake mabinti ni ndogo kulinganisha na wanaume. Mkoa huu nazani ndio unaoongoza kwa kutoa house girls wengi Tanzania. Hivyo unakuta mwanamke mmoja anagombaniwa na wanaume kumi na zaidi no way out.

Nne, Ulevi hasa kwa wanawake hasa njombe vijijini, na ludewa na makete pia.

Tano, house girls hurudi kwao na VVU na kwa uchache wa wanawake basi kila mwanaume kijijini ata mlala kwa uzuri wake.

Sita, uhaba wa kondomu vijijini. Maduka mengi vijijini hayauzi kondomu. Unaweza tafuta kondomu ludende siku nzima usiipate.

Saba, biashara ya mbao nk
 
Pamoja na sababu nyinginezo, kwa muda mrefu mkoa wa Iringa/Njombe umekuwa kwa kiasi kikubwa unatoa wafanyakazi wa ndani katika miji mbalimbali hapa Tanzania.

Uwezekano mkubwa ni kuwa mabinti hawa wa ndani pindi wanaporudi nyumbani/vijijini wamekuwa pia wakirudi na virusi. Kwa mazingira ya vijijini kule, msichana akitoka mjini anakuwa na mvuto wa kipekee sana na hivyo kuongeza uwezekano wa kujiingiza kwenye relationships na wanaume zaidi ya mmoja.

Ni wanaume wachache hukumbuka/hujali kutumia condom kwa mwanamke mwenye mvuto mkubwa! Au hata kama atatumia, uwezekano mkubwa ni katika mkutano wa kwanza labda na wa pili...baada ya hapo condom huwa haina nafasi tena.
 
Mimi siamini kwenye upande wa baridi ila ninachoamini ni kuwa haya makabila yanayopatikana kwenye huu mkoa wanapenda sana ngono, hilo nina ushahidi maana nimekaa njombe kwa miezi 8. Mfano una demu ni rafiki yako mchana, usiku ana mwingine
 
Mimi siamini kwenye upande wa baridi ila ninachoamini ni kuwa haya makabila yanayopatikana kwenye huu mkoa wanapenda sana ngono, hilo nina ushahidi maana nimekaa njombe kwa miezi 8. Mfano una demu ni rafiki yako mchana, usiku ana mwingine
Wacha watu wa enjoy life.
 
Ngojeni ni wambie watu wengi hawajajuwa kwa nini hizi tafiti zinaonesha hivi
Kwanza kabisa tujiulize mkoa wa njombe unawakazi wangapi halafu jiulize dsm inawakazi wangapi?
Kinacho fanyika nikwamba wakati watu wa miradi ya ukimwi wakienda vijijiini kupima watu serekali ya kijiji inaita watu wote wapime kwa nguvu wala sio hiali halafu wakija dsm wanaema watu wapime kwa hiali utapataje majibu sahihi
Dsm Wakazi 3milion
Njombe wakazi 1milion
Bado hujanidangany kuwa njombe inaongoza labda uniambie mkoa mzima wameathilika
 
Mm nashindwa hata kuchangia maana wanawake wa Njombe na wa Dar ukiwatongoza wote wanalala tu. Labda kwakua kamkoa kadogo ndo maana kanaonekana sana.
 

Mkuu hapo kwenye kuwaita watu wapime kwa lazima nakukatalia. Mm nna uzoefu mkubwa na Njombe.

Tatizo tu mzunguko Mdogo, kidemu kimoja mnaeza mkitandike mijeledi midume hata 20 kwa wiki. Awe mzr mzuri tu
 
Una promote ulanzi mkuu,soon hiyo pombe itapata soko kwa wanaume wa dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…