Kwanini mkojo unachanganyika na mbegu za uzazi?

Mbayo wa Giika

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2014
Posts
205
Reaction score
107
Mimi ni mwanaume niliyeoa hivi karibuni. Siku za hivi karibuni nime-note kitu hiki, baada ya tendo la ndoa usiku asubuhi nikitoa aja ndogo inaambatana na shahawa.

Naombeni msaada wenu, nini chanzo cha hili na athari zake nini?
 
sijaelewa yaani mkojo unatoka pamoja na mbegu?:shock:au unamaanisha mabaki ya mbegu baada ya tendo la ndoa la usiku linaamabatana na mkojo?Naomba unifafanulie hilo tafadhali…..
 
sijaelewa yaani mkojo unatoka pamoja na mbegu?:shock:au unamaanisha mabaki ya mbegu baada ya tendo la ndoa la usiku linaamabatana na mkojo?Naomba unifafanulie hilo tafadhali…..

Mabaki ya mbegu yanaambatana na mkojo baada ya tendo la ucku. Au ni kawaida mkuu?
 
It is normal and it is common. Normal physiological scenario. Ni jambo la kawaida kabisa.
 
Mimi ni mwanaume niliyeoa hivi karibuni. Cku za hivi karibuni nime-note kitu hiki,baada ya tendo la ndoa ucku asubuhi nikitoa aja ndogo inaambatana na shahawa! Naombeni msaada wenu,nini chanzo cha hili na athari zake nini?

hii kitaalamu unasababishwa na kitu tunaita "retrograde ejaculation", ambapo kizuizi (sphincter) katika mlango wa kibofu cha mkojo hakifanyi kazi yake sawasawa ama kinepoteza uwezo wa kuzuia mbegu zisiingie katika kibofu wakati wa orgasm. madhara yake ni pamoja na utasa kama tatizo ni kubwa zaidi.
unaweza kusoma zaidi
 
jitahidi wakati wakuejacilate ujiachie ili shahawa zitoke zote, ukijibana zinabaki kwny njia then wakati wa haja ndogo zinasikumwa na mkojo kutolewa nje.

Pia hali hiyo inaweza kusababishwa na ukosefu thabiti wa nguvu zakiume au kulegea kwa mishipa ya damu ya uume.

but wakati mwingine imekuwa kawaida kwa wengi kutokana na vyakula dhaifu vyakusindikwa ambavyo kwakias kikubwa zinapunguza urijali.
 

Ahsante mkuu nimekupata vizuri sana,nimegundua tatzo lilipo.
 

Ahsante mkuu.
 
kikawaida si rahisi shahawa zote kutoka, lzm zitabaki ambapo hutoka wakati ukikojoa. ni kawaida
 
Fafanua kidogo hapo mkuu,ajiachie kivipi!
 
Mimi ni mwanaume niliyeoa hivi karibuni. Siku za hivi karibuni nime-note kitu hiki, baada ya tendo la ndoa usiku asubuhi nikitoa aja ndogo inaambatana na shahawa.

Naombeni msaada wenu, nini chanzo cha hili na athari zake nini?

athari za punyeto
 
huu udaktari wako mkuu utakuwa umeusomea china!! ha ha ha
 
Yaan wakati wa mechi huenda anacheza km mpira kaiba mahala au baada tuu ya goli analala yaani anaharakisha kutoka uwanjani kabla mpira haujazama nyavuni wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…