Mbayo wa Giika
JF-Expert Member
- Apr 9, 2014
- 205
- 107
Mimi ni mwanaume niliyeoa hivi karibuni. Siku za hivi karibuni nime-note kitu hiki, baada ya tendo la ndoa usiku asubuhi nikitoa aja ndogo inaambatana na shahawa.
Naombeni msaada wenu, nini chanzo cha hili na athari zake nini?
Naombeni msaada wenu, nini chanzo cha hili na athari zake nini?