Kwanini mkopo wa IMF kwa TZ wa Trilioni 2.4 umebadilishiwa sababu?

Kwanini mkopo wa IMF kwa TZ wa Trilioni 2.4 umebadilishiwa sababu?

Nimekuuliza huo mkopo uliobwa lini na kukubalika? Sijaona hayo maelezo badala yake kuna maelezo clear kabisa kwamba maofisa wa IMF walikuja Dom,Dar na Zanz kujadili mkopo kwa scenario ya vita..

Niwekee hayo maelezo yako hapa
Nimekuambia ingia kwenye website ya IMF!
 
Back
Top Bottom