Kwanini Mkutano Mkuu wa CCM Taifa Ulijadili Jina la Mgombea Urais Bila Agenda Rasmi kutoka Kamati Kuu na Halmashauri Kuu za CCM!

Ingekuwa kweli wasingehangaika kumhonga mbowe. Safari hii wamekwama, subiri hiyo Oktoba kama tutakuwa hai.
Tutafanya nini, tume yao, Jeshi lao, Mahakama zao, Bunge lao, Pesa zao. Sasa yeye Lisu ana nini kama si domo tupu. Hapa ni mwendo wa kushatap mkia juu.
 
Kule ni Kenya mzee
Zenji 2015 walifuta uchaguzi kwan mlifanya nn?
 
Tutafanya nini, tume yao, Jeshi lao, Mahakama zao, Bunge lao, Pesa zao. Sasa yeye Lisu ana nini kama si domo tupu. Hapa ni mwendo wa kushatap mkia juu.
Uchaguzi unafutwa kama zenji tunaanza upya hakuna mtachofanya
 
Tutafanya nini, tume yao, Jeshi lao, Mahakama zao, Bunge lao, Pesa zao. Sasa yeye Lisu ana nini kama si domo tupu. Hapa ni mwendo wa kushatap mkia juu.
Leta mrejesho hapa baada ya uchaguzi kama utakuwa hai.

Jeshi ni lao, mahakama... Nini kiliwasukuma kumhonga mbowe na maridhiano feki kama wanajua hivyo vyote ni vyombo vyao?
 
Leta mrejesho hapa baada ya uchaguzi kama utakuwa hai.

Jeshi ni lao, mahakama... Nini kiliwasukuma kumhonga mbowe na maridhiano feki kama wanajua hivyo vyote ni vyombo vyao?
Just kupunguza kashkash lakini hata wainge muhonga angefanya nini. Wewe unazani kunamtanzania wa kureact hata mmoja, wewe kunywa tu juice yako ulale usilete mchezo mbele ya chuma.
 
Uchaguzi unafutwa kama zenji tunaanza upya hakuna mtachofanya
Upo sahihi kabisa watu wanajidanganya danganya tu. Eti wanamtegemea Trump. Trump mfanya biashara aakipewa mgodi mmoja anaweza hata tuchinjwe tuwekwe kwenye mabucha
 
WanaCCM tumeshaamua mgombea wetu ni mh.Samia.....tuiteni mtakavyo....

#Nchi Kwanza!
 
Mjadala wa nafasi ya urais kwa CCM ulishafungwa, Mgombea wetu ni Mh. Samia Suluhu Hassan na Makamu ni Emanuel John Nchimbi, kwa upande wa Zanzibar Mgombea ni Hussein Mwinyi.

Full stop, tujadili wagombea wa vyama vingine ambao michakato yao bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…