Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

hata maji marefu ni prof.....
unajisifia na elimu ya TZ mkuu.....
weee kaa huko huko bongo af wenzio wanabeba box ulaya wanatokaaaa............
msomi hawez kuwa CCM ever


Nimecheka peke yangu mpaka nashangawa na watu.

Eti" msomi hawezi kuwa CCM ever" 😀😀😀

Umetisha mkuu
 
Wewe acha kujibu usilolijua kabisa Rais ni Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama, Mkuu wa majeshi ni tofauti yeye ni Mkuu wa vikosi vyote vya Jeshi la wananchi wa Tanzania na anakua na cheo cha Jenerali
Nikusahihishe..
Mkuu wa majeshi ni raisi yaaani anasimamia majeshi yote.polisi,jwtz,secret service n.k....na Generali ni mkuu wa jeshi la jwtz tu..GeneralI sio mkuu wa majeshi..ni mkuu wa jeshi la wananchi wa tz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe siyo mkweli na umekuja kufurahisha baraza tu hapa au pengine hujui unachoongea. Huyo mkuu wa majeshi unayemzungumzia msafara wake una magari matatu au zaidi na unaongoza kwa vurugu barabarani. Anapopita huyo mheshimiwa anapita kwa kasi kubwa na anataka watumiaji wa barabara wa njia zote kulia na kushoto kumpisha. Waulize wanaotumia njia ya Kinyerezi hadi Majumba Sita watakwambia adha wanazozipata kutokana na msafara wa bwana mkubwa huyu.
 
Mkuu wa majeshi mbna mi namuona wa kawaida kwasababu raisi anauwezo wa kumuachisha kazi akiamka na kusema natengua uteuzi wa mkuu wa majeshi hana chake ila jaji mkuu ndio noma
We jamaa nae unaakili za kizaman mno
 
Nikusahihishe..
Mkuu wa majeshi ni raisi yaaani anasimamia majeshi yote.polisi,jwtz,secret service n.k....na Generali ni mkuu wa jeshi la jwtz tu..GeneralI sio
mkuu wa majeshi..ni mkuu wa
jeshi la wananchi wa tz


Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha daah haya bana inaonekana hata jkt hujapita, ni hivi kuna utofauti mkubwa kati ya hawa Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama sio cheo nu Madaraka na anakua nayo Rais peke yake na sio kazima awe Mwanajeshi, vilevile Mkuu wa Majeshi yaani (CDF) ni madaraka yenye cheo cha Jenerali yaani Ngao ya bibi na bwana nyota nne na mkasi (four star General) ukibahatika kumuona CDF muangalie mabegani huyu ni Mwanajeshi100% onyo: ukimuangalia sana unaweza kuchapwa
 
Nikusahihishe..
Mkuu wa majeshi ni raisi yaaani anasimamia majeshi yote.polisi,jwtz,secret service n.k....na Generali ni mkuu wa jeshi la jwtz tu..GeneralI sio
mkuu wa majeshi..ni mkuu wa
jeshi la wananchi wa tz


Sent using Jamii Forums mobile app


Hahaha daah haya bana inaonekana hata jkt hujapita, ni hivi kuna utofauti mkubwa kati
ya hawa Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama na Mkuu wa majeshi ya ulinzi,Amiri jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama sio cheo ni Madaraka na anakua nayo Rais peke yake na sio lazima awe Mwanajeshi au Askari vilevile Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi yaani (CDF) ni madaraka yenye cheo cha Jenerali yaani Ngao ya bibi na bwana nyota nne na mkasi (four star General) ukibahatika kumuona CDF muangalie mabegani huyu ni Mwanajeshi100% onyo: ukimuangalia sana unaweza kuchapwa
 
Humu hata sielewi kitu sijui ni uhenga ndio unaniandama
 
Escort ambayo anatumia mkuu wa majeshi ni kubwa kuliko ya baadhi uliowataja. Mana wale escort yao ni polisi na mkuu wa majeshi escort ni ya makomandoo nadhani unajua tofauti aliyonayo polisi na mwanajeshi


Makomandoo wepi hao, wale wanaopasua matofali ya mchanga uwanja wa taifa?

Mbona wameshindwa kusaidia Kibiti?

Tunavi overestimate na kuvi over admire bure hivi vyombo vyetu vya usalama, wakasaidie Kibiti!
 
Nikusahihishe..
Mkuu wa majeshi ni raisi yaaani anasimamia majeshi yote.polisi,jwtz,secret service n.k....na Generali ni mkuu wa jeshi la jwtz tu..GeneralI sio mkuu wa majeshi..ni mkuu wa jeshi la wananchi wa tz

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio ujaelewa , unafikili kwa nini mkuu wa majeshi anaitwa "mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama "
Kwa taarifa yako jenerali mabeyo ndio mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama na sio mkuu wa jwtz..let me twist in this way kwa mfano huu.
Protocol, cheo cha Inspector gerali wa polisi (IGP) ukikibadilisha/equivalent na meja jenerali , cheo cha kamishina ukikibadilisha ni sawa na cheo cha bregadia jenerali.
Kwa iyo mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama kwa itifaki anatokea jwtz, na Amiri jeshi mkuu ni Rais wa nchi.
Kwa kifupi , mkuu wa jeshi la polisi ni IGP, mkuu wa zimamoto ni kamishina wa polisi, mkuu wa hidara ya uhamiaji ni kamishina ,mkuu wa usalama wa taifa cheo chake ni equivalent na meja jenerali(**) , na mkuu wa jwtz ni jenerali (****)
Mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama ni jenerali (****) ,mana wakuu wote wa vyombo vyengine vya ulinzi na usalama vyeo vyao ni vidogo kwa jenerali ,tena wanazidiwa na mnazimu mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (luteni jenerali ***)
Ndio mana utasikia mnazimu mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (na uwezi kusikia mnazimu mkuu wa jwtz), utasikia mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (uwezi sikia mkuu wa jwtz ).
Kwa kuongezea fuatilia kukiwa na sherehe ikulu inayousu vyombo vya dola utaona walivyojipanga (kwenye majeshi mwenye cheo kikubwa anakaa kulia na kushoto mwenye cheo kidogo ) utaona walivyojipanga anaanza mkuu wa majeshi ,IGP, mkuu wa usalama wa taifa , mkuu wa uhamiaji ,mkuu wa zimamoto i.e jenerali,inspector jenerali wa polisi, meja jenerali , kamishina wa uhamiaji /magereza etc respectively.
Kama ujanielewa hapo ,uliza swali
 
Wewe ndio ujaelewa , unafikili kwa nini mkuu wa majeshi anaitwa "mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama "
Kwa taarifa yako jenerali mabeyo ndio mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama na sio mkuu wa jwtz..let me twist in this way kwa mfano huu.
Protocol, cheo cha Inspector gerali wa polisi (IGP) ukikibadilisha/equivalent na meja jenerali , cheo cha kamishina ukikibadilisha ni sawa na cheo cha bregadia jenerali.
Kwa iyo mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama kwa itifaki anatokea jwtz, na Amiri jeshi mkuu ni Rais wa nchi.
Kwa kifupi , mkuu wa jeshi la polisi ni IGP, mkuu wa zimamoto ni kamishina wa polisi, mkuu wa hidara ya uhamiaji ni kamishina ,mkuu wa usalama wa taifa cheo chake ni equivalent na meja jenerali(**) , na mkuu wa jwtz ni jenerali (****)
Mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama ni jenerali (****) ,mana wakuu wote wa vyombo vyengine vya ulinzi na usalama vyeo vyao ni vidogo kwa jenerali ,tena wanazidiwa na mnazimu mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (luteni jenerali ***)
Ndio mana utasikia mnazimu mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (na uwezi kusikia mnazimu mkuu wa jwtz), utasikia mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (uwezi sikia mkuu wa jwtz ).
Kwa kuongezea fuatilia kukiwa na sherehe ikulu inayousu vyombo vya dola utaona walivyojipanga (kwenye majeshi mwenye cheo kikubwa anakaa kulia na kushoto mwenye cheo kidogo ) utaona walivyojipanga anaanza mkuu wa majeshi ,IGP, mkuu wa usalama wa taifa , mkuu wa uhamiaji ,mkuu wa zimamoto i.e jenerali,inspector jenerali wa polisi, meja jenerali , kamishina wa uhamiaji /magereza etc respectively.
Kama ujanielewa hapo ,uliza swali

Yaani mnavyobishana ni kama mnaelewa mnachoandika kumbe ni ujinga mtupu. Vyombo vya ulinzi ni vipi na vya usalama ni vipi?
 
Yaani mnavyobishana ni kama mnaelewa mnachoandika kumbe ni ujinga mtupu. Vyombo vya ulinzi ni vipi na vya usalama ni vipi?
Wewe mwelevu tujuze sasa, mana nilitegemea umekuja na point ya msingi kumbe ni kejeli tu , JF sio Facebook, tupingane kwa hoja na sio kwa matusi.
Umeshafanya application za chuo? Mana JF imevamiwa na watoto wa kidato cha sita
 
Mkuu wa majeshi mzee Mabeyo naishi nae mtaa mmoja huku Tabata segerea tangu akiwa mnadhimu mkuu wa jeshi na hata muda mfupi uliopita nilikuwa na mke wake kwenye jumuiya(Mama Mabeyo)....

Akiwa anakuja huku kitaa kutokea town (kupitia njia ya tabata segerea kwenda kinyerezi) ankuwa na escort ya gari moja mbele (gari la MP) na lingine nyuma wakiongozwa na pikipiki kwa mbele (gari lake linakuwa na nyota kadhaa)....anapita bila kukaa kwenye foleni bila kusimama hata sehemu moja mpaka anafika kwake na juzi tu wanajeshi wamemaliza kumchongea barabara ya kwenda nyumbani kwake huku segerea

Labda ulimuona afisa mwingine wa JESHI na si mkuu wa MAJESHI (Mzee MABEYO) mkuu

Nawasilisha wakuu....weekend nkema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio ujaelewa , unafikili kwa nini mkuu wa majeshi anaitwa "mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama "
Kwa taarifa yako jenerali mabeyo ndio mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama na sio mkuu wa jwtz..let me twist in this way kwa mfano huu.
Protocol, cheo cha Inspector gerali wa polisi (IGP) ukikibadilisha/equivalent na meja jenerali , cheo cha kamishina ukikibadilisha ni sawa na cheo cha bregadia jenerali.
Kwa iyo mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama kwa itifaki anatokea jwtz, na Amiri jeshi mkuu ni Rais wa nchi.
Kwa kifupi , mkuu wa jeshi la polisi ni IGP, mkuu wa zimamoto ni kamishina wa polisi, mkuu wa hidara ya uhamiaji ni kamishina ,mkuu wa usalama wa taifa cheo chake ni equivalent na meja jenerali(**) , na mkuu wa jwtz ni jenerali (****)
Mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama ni jenerali (****) ,mana wakuu wote wa vyombo vyengine vya ulinzi na usalama vyeo vyao ni vidogo kwa jenerali ,tena wanazidiwa na mnazimu mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (luteni jenerali ***)
Ndio mana utasikia mnazimu mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (na uwezi kusikia mnazimu mkuu wa jwtz), utasikia mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (uwezi sikia mkuu wa jwtz ).
Kwa kuongezea fuatilia kukiwa na sherehe ikulu inayousu vyombo vya dola utaona walivyojipanga (kwenye majeshi mwenye cheo kikubwa anakaa kulia na kushoto mwenye cheo kidogo ) utaona walivyojipanga anaanza mkuu wa majeshi ,IGP, mkuu wa usalama wa taifa , mkuu wa uhamiaji ,mkuu wa zimamoto i.e jenerali,inspector jenerali wa polisi, meja jenerali , kamishina wa uhamiaji /magereza etc respectively.
Kama ujanielewa hapo ,uliza swali
Nimekupata bro
 
Wewe ndio ujaelewa , unafikili kwa nini mkuu wa majeshi anaitwa "mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama "
Kwa taarifa yako jenerali mabeyo ndio mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama na sio mkuu wa jwtz..let me twist in this way kwa mfano huu.
Protocol, cheo cha Inspector gerali wa polisi (IGP) ukikibadilisha/equivalent na meja jenerali , cheo cha kamishina ukikibadilisha ni sawa na cheo cha bregadia jenerali.
Kwa iyo mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama kwa itifaki anatokea jwtz, na Amiri jeshi mkuu ni Rais wa nchi.
Kwa kifupi , mkuu wa jeshi la polisi ni IGP, mkuu wa zimamoto ni kamishina wa polisi, mkuu wa hidara ya uhamiaji ni kamishina ,mkuu wa usalama wa taifa cheo chake ni equivalent na meja jenerali(**) , na mkuu wa jwtz ni jenerali (****)
Mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama ni jenerali (****) ,mana wakuu wote wa vyombo vyengine vya ulinzi na usalama vyeo vyao ni vidogo kwa jenerali ,tena wanazidiwa na mnazimu mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (luteni jenerali ***)
Ndio mana utasikia mnazimu mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (na uwezi kusikia mnazimu mkuu wa jwtz), utasikia mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama (uwezi sikia mkuu wa jwtz ).
Kwa kuongezea fuatilia kukiwa na sherehe ikulu inayousu vyombo vya dola utaona walivyojipanga (kwenye majeshi mwenye cheo kikubwa anakaa kulia na kushoto mwenye cheo kidogo ) utaona walivyojipanga anaanza mkuu wa majeshi ,IGP, mkuu wa usalama wa taifa , mkuu wa uhamiaji ,mkuu wa zimamoto i.e jenerali,inspector jenerali wa polisi, meja jenerali , kamishina wa uhamiaji /magereza etc respectively.
Kama ujanielewa hapo ,uliza swali
Nimeelewa sana[emoji122] [emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka wa jana nilikutana na masafara wa cdf acha tu komandoo mmoja sawa na polis kama 900 hivi na hiwa na mitutu ya hatare mbele na nyuma pikipiki ya njia wenge tu wao ni defender

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu acha promo za kijinga. Unamjua komandoo wewe?!! Au hao wanaopasua matofali ndio unawaita makomandoo?!! Ukitaka kujua komandoo yukoje hebu soma habari za Otto Skorzeny yule aliyekuwa komandoo wa Adolf Hitler aliyemkomboa Mussolini bila kufyatua risasi hata moja halafu mlinganishe na hawa unaowasifia hapa.
 
Mkuu wa majeshi mzee Mabeyo naishi nae mtaa mmoja huku Tabata segerea tangu akiwa mnadhimu mkuu wa jeshi na hata muda mfupi uliopita nilikuwa na mke wake kwenye jumuiya(Mama Mabeyo)....

Akiwa anakuja huku kitaa kutokea town (kupitia njia ya tabata segerea kwenda kinyerezi) ankuwa na escort ya gari moja mbele (gari la MP) na lingine nyuma wakiongozwa na pikipiki kwa mbele (gari lake linakuwa na nyota kadhaa)....anapita bila kukaa kwenye foleni bila kusimama hata sehemu moja mpaka anafika kwake na juzi tu wanajeshi wamemaliza kumchongea barabara ya kwenda nyumbani kwake huku segerea

Labda ulimuona afisa mwingine wa JESHI na si mkuu wa MAJESHI (Mzee MABEYO) mkuu

Nawasilisha wakuu....weekend nkema

Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema General Davis Mwamunyange,hata mm 2014 nilishawah kukutana na General Mwamunyange kwenye foreni nilikua kwenye daladala naelekea gomz gari ya General ilikua kwenye foreni kipawa nikamuona alikua anasoma gazet sijui alikua anaelekea wapi perhaps airport, yule jamaa alikua wakipekee
 
Back
Top Bottom