Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

Duh.. wee ndio brigedia, tunakuvua vyeo vyote... Bora uwe kuruta chan ocha
 
Sababu nyingine inaweza pia kuwa anapoondoka kwenda mahali fulani, huwa haitakiwi watu wengine wajue kuwa anaelekea wapi. Zaidi ni kuwa anaweza kuwa yuko kwenye msafara barabarani halafu vijana wake wakawa wapo kikazi kwenye foleni hizo hizo za magari ambazo wewe unaziona hazina kitu, kumbe kuna information nyeti ya ki-usalama wao wanaikusanya, wapo kazini mda wote! I like these guys anyway!
 
Mkuu wa mkoa na spika hua hawana spika labda kwa awamu hii
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Makomandoo wepi hao, wale wanaopasua matofali mchanga uwanja wa taifa?

Mbona wameshindwa kusaidia Kibiti?

Tunavi overestimate na kuvi over admire bure hivi vyombo vyetu vya usalama, wakasaidie Kibiti!
Vp umetembelea kibiti hivi karibuni?
 
***** ,,,,,,,,umeiva wazi???
 
Zile pikipiki za MP au Traffic police???
 
Hahitaji kuvutia macho ya Anti-
ila ukienda kwake ndio utapambana na Komando vipensi
 
Escort ambayo anatumia mkuu wa majeshi ni kubwa kuliko ya baadhi uliowataja. Mana wale escort yao ni polisi na mkuu wa majeshi escort ni ya makomandoo nadhani unajua tofauti aliyonayo polisi na mwanajeshi
Polisi mbele ya Makomandoo wa JWTZ anaitwa ni RAIA MKAKAMAVU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…