huelewi unacho ongea , nashida yako ni kwamba hujui mamlaka ya jeshi la polisi,kumbuka masuala yote ya "internal security" (IS) yapo chini ya jeshi la polisi, ngoja nikupe mfano mmoja "mfano ndani ya kambi ya jeshi la ulinzi la kudumu (maarufu jwtz) kumetokea kifo cha mashaka hapo ni jeshi la polisi ndilo litakalo kuwa na mamlaka ya kuchunguza kifo hicho ikiwa ni pamoja na kusimamia taarifa ya kitabibu (POSTMORTEM) juu ya kifo hicho na si jeshi la ulinzi la kudumu (maarufu jwtz), polisi wanamamlaka hata ya kusimamisha na kukagua magari yote ya hao wanao itwa jwtz kwani si kila gari la bakabaka basi ni gari la jeshi la ulinzi la kudumu, au si kila aliyevaa gwanda la bakabaka basi ni askari wa jeshi la ulinzi la kudumu, (lakini cha ajabu hao wanao itwa jwtz huwa wanabisha kukaguliwa na polisi, kwa kisingizio kuwa wao hawatakiwi kukaguliwa. (HUU NI UFINYU WA KUFIKIRI)
kitu kingine unaonesha kudharau jeshi la polisi kwa kusema eti ni la askari wa ccm huku ukijipotosha kuwa hao mnao waita jwtz si askari wa ccm, sasa ndugu yangu nikukumbushe tu kuwa majeshi yote yapo chini ya tawala za kiraia hivyo ni amri za watawala wa kiraia ndizo zinazo endesha majeshi yetu, sasa basi kile kitu kinacho fanywa na polisi halafu wewe ukipendi kumbuka kitu hichohicho chaweza fanywa na hao the so called jwtz, tena kinaweza fanywa vibaya zaidi kuliko hata jeshi la polisi, NIKUJIDANGANYA KUSEMA KWAMBA POLISI WANATETEA CCM, HALAFU HAPOHAPO UWATOE HAO REGULAR FORCE (MAARUFU KAMA JWTZ)