#COVID19 Kwanini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?

#COVID19 Kwanini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Haiwezekani mpigie chapuo chanjo za kovid na kisha mkiri kwa kinywa chenu kuwa chanjo za kovidi sio kinga bali zinasaidiia ukipata kovidi isikuchape kwa nguvu.

Je, mnadhani watanzania ni wajinga?

Kwa nini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?

Kwa nini tusiwe na kinga yetu kamili iliyotengenezwa na Nimri?
image_search_1639902731579.jpg
 
Haiwezekani mpigie chapuo chanjo za kovid na kisha mkiri kwa kinywa chenu kuwa chanjo za kovidi sio kinga bali zinasaidiia ukipata kovidi isikuchape kwa nguvu.

Je, mnadhani watanzania ni wajinga?

Kwa nini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?

Kwa nini tusiwe na kinga yetu kamili iliyotengenezwa na Nimri?View attachment 2049515
Hujalazimishwa kuchanja wewe dogo.

Hata ukifa huna cha kuacha zaidi ya boxer na mirungi tu
 
Haiwezekani mpigie chapuo chanjo za kovid na kisha mkiri kwa kinywa chenu kuwa chanjo za kovidi sio kinga bali zinasaidiia ukipata kovidi isikuchape kwa nguvu.

Je, mnadhani watanzania ni wajinga?

Kwa nini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?

Kwa nini tusiwe na kinga yetu kamili iliyotengenezwa na Nimri?View attachment 2049515
Umefungwa kamba na kukokotwa kwenda kuchanjwa? Maisha na afya vyote vyako Baki navyo mwenyewe, ila tungeweza tungekuambia ila usiwasumbue wengine.
 
Haiwezekani mpigie chapuo chanjo za kovid na kisha mkiri kwa kinywa chenu kuwa chanjo za kovidi sio kinga bali zinasaidiia ukipata kovidi isikuchape kwa nguvu.

Je, mnadhani watanzania ni wajinga?

Kwa nini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?

Kwa nini tusiwe na kinga yetu kamili iliyotengenezwa na Nimri?View attachment 2049515
Ukiwatazama kwa makini hao wanaume wawili kwenye picha wanaonesha wazi kabisa kuwa tumelamba galasa
 
Haiwezekani mpigie chapuo chanjo za kovid na kisha mkiri kwa kinywa chenu kuwa chanjo za kovidi sio kinga bali zinasaidiia ukipata kovidi isikuchape kwa nguvu.

Je, mnadhani watanzania ni wajinga?

Kwa nini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?

Kwa nini tusiwe na kinga yetu kamili iliyotengenezwa na Nimri?View attachment 2049515


Nani kalazimishwa😂😂 Watanzania kwa kutunga maneno
 
Back
Top Bottom