Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Mungu amponye Zitto Kabwe!
Hujalazimishwa kuchanja wewe dogo.Haiwezekani mpigie chapuo chanjo za kovid na kisha mkiri kwa kinywa chenu kuwa chanjo za kovidi sio kinga bali zinasaidiia ukipata kovidi isikuchape kwa nguvu.
Je, mnadhani watanzania ni wajinga?
Kwa nini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?
Kwa nini tusiwe na kinga yetu kamili iliyotengenezwa na Nimri?View attachment 2049515
Unatumia makalio kuwazaHujalazimishwa kuchanja wewe dogo.
Hata ukifa huna cha kuacha zaidi ya boxer na mirungi tu
Wewe wasemaUnatumia makalio kuwaza
Ni mumeoKwani Mbowe ni kiongozi wa nchi?
Unatumia makalio kufikiriNi mumeo
Umefungwa kamba na kukokotwa kwenda kuchanjwa? Maisha na afya vyote vyako Baki navyo mwenyewe, ila tungeweza tungekuambia ila usiwasumbue wengine.Haiwezekani mpigie chapuo chanjo za kovid na kisha mkiri kwa kinywa chenu kuwa chanjo za kovidi sio kinga bali zinasaidiia ukipata kovidi isikuchape kwa nguvu.
Je, mnadhani watanzania ni wajinga?
Kwa nini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?
Kwa nini tusiwe na kinga yetu kamili iliyotengenezwa na Nimri?View attachment 2049515
Ukishaumwa Corona na kupona huna haja ya kuchanjwa tena!Mtu akionesha picha ya M/rais Mpango akichanjwa nampa 5milion chapu.
Sema, akina gwajiboy na akina slow , uwaongeze na wanakijani wenyewe.CCM na CHADEMA ni janga katika nchi hii.
Hio sayansi ya mwendazake au WHO?Ukishaumwa Corona na kupona huna haja ya kuchanjwa tena!
Nikwa mujibu wa kanuni za afya au maoni binafsiUkishaumwa Corona na kupona huna haja ya kuchanjwa tena!
Kamanda mchovu vipi unawaangusha makamanda, au mamluki tokea mtaa mbogambogaUnatumia makalio kufikiri
Ukiwatazama kwa makini hao wanaume wawili kwenye picha wanaonesha wazi kabisa kuwa tumelamba galasaHaiwezekani mpigie chapuo chanjo za kovid na kisha mkiri kwa kinywa chenu kuwa chanjo za kovidi sio kinga bali zinasaidiia ukipata kovidi isikuchape kwa nguvu.
Je, mnadhani watanzania ni wajinga?
Kwa nini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?
Kwa nini tusiwe na kinga yetu kamili iliyotengenezwa na Nimri?View attachment 2049515
Haiwezekani mpigie chapuo chanjo za kovid na kisha mkiri kwa kinywa chenu kuwa chanjo za kovidi sio kinga bali zinasaidiia ukipata kovidi isikuchape kwa nguvu.
Je, mnadhani watanzania ni wajinga?
Kwa nini mnawalazimisha kupata chanjo ambayo sio kinga?
Kwa nini tusiwe na kinga yetu kamili iliyotengenezwa na Nimri?View attachment 2049515