Hilo pia ni kosa kuanzia mwanzo kama watu hawana capacity kwanini uzuie kutoka pengine... kama wengine wana comparative advantage ya kuweza kutengeneza sukari kwa bei ndogo sana kuliko sisi basi na tununue kwao tujikite kwenye jambo ambalo tuna advantage zaidi (hata kama ni kutengeneza ugoro)
It is the maxim of a every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy.
Kama uwezo hawana hili lingefanyika mwaka juzi na sio mwaka kesho na ifike wakati hivyo viwanda viwaze na kupeleka nje sio ndani tu (zidisha production maradufu) : Hizi porojo ni za Mwanasiasa tu na kama inajulikana kabisa miezi gani kuna uhaba (haya mambo hutokea mara kwa mara).
Matokeo yake unataka Mangi aendelee kuuza buku tatu wakati huenda zamani alikuwa analetewa gunia sasa hivi analifuata tena kwa kupanga foleni (Hapo kosa la nani ? , Mangi au Serikali kwa kutokuwa Pro-active)