Kwanini Mnipangie Bei ya Kuuza Sukari?

Kwanini Mnipangie Bei ya Kuuza Sukari?

Hilo pia ni kosa kuanzia mwanzo kama watu hawana capacity kwanini uzuie kutoka pengine... kama wengine wana comparative advantage ya kuweza kutengeneza sukari kwa bei ndogo sana kuliko sisi basi na tununue kwao tujikite kwenye jambo ambalo tuna advantage zaidi (hata kama ni kutengeneza ugoro)

It is the maxim of a every prudent master of a family, never to attempt to make at home what it will cost him more to make than to buy.

Kama uwezo hawana hili lingefanyika mwaka juzi na sio mwaka kesho na ifike wakati hivyo viwanda viwaze na kupeleka nje sio ndani tu (zidisha production maradufu) : Hizi porojo ni za Mwanasiasa tu na kama inajulikana kabisa miezi gani kuna uhaba (haya mambo hutokea mara kwa mara).

Matokeo yake unataka Mangi aendelee kuuza buku tatu wakati huenda zamani alikuwa analetewa gunia sasa hivi analifuata tena kwa kupanga foleni (Hapo kosa la nani ? , Mangi au Serikali kwa kutokuwa Pro-active)
Bado hujaelewa mkuu
 
Bado hujaelewa mkuu
Mkuu wewe ndio umeaminishwa kwamba Tatizo ni walanguzi na wafanyabiashara wanaoficha mizigo mimi nakwambia tatizo ni incompetent ya watawala....

Naomba nijibu kwanini hili litokee sasa na sio mwaka mzima ? Kwamba wanaficha mzigo mpaka lini mfano capacity ni gunia moja wao wanauza kilo moja na kuweka hizo 90; wanaziweka ili waziuze lini na wapi ?

Lazima kuna wakati katika mwaka kuna uhaba ili waweze kuachia hizo 90 walizoficha (sasa kwanini tusihakikishe hakuna uhaba)? Ndio yaleyale kwamba hakuna shida ya Dollar wakati watu wakienda Benki hakuna Dollar (Yaani full ulaghai)
 
Back
Top Bottom