Mwanafunzi mtoro
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 222
- 806
Yeyote anaetumia kilevi ni mlevi haijalishi atalewa chakali au laa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me nazungumzia kwa wale wanaolewa chakari kwa nin wakasirike tukiwaita walevi?Wanywaji wote wa pombe Sio walevi, kwa hiyo Sio jina lao maana wewe umesema wanywaji pombe! Ni sawa ba kumuita mtu anayefanya mapenzi malaya
Kwa upande wanaovuka mipaka hawapaswi kukasirka tukiwaita waleviMuite "mnywaji" ulevi unavuka kiwango cha unywaji. Sawa na ulafi, unavuka kiwango cha ulaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kila mnywa pombe ni mlevi, ila kila mlevi ni mnywa pombe..!! Sasa kumwita mywa pombe kuwa ni mlevi unakoseaHabar zenu wadau,
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua wanyaji wengi wa pombe ukiwaita walevi wanakasirika japo sio wote, ila % kubwa wapo ivo.
Kwanini wakasirike wakat ni walevi kweli, hii imekaaje wadau?
Ivi kuna mnywaji pombe anekunywa pombe na asilewe kweli???Siyo kila mnywa pombe ni mlevi, ila kila mlevi ni mnywa pombe..!! Sasa kumwita mywa pombe kuwa ni mlevi unakosea
Mimi sio mlevi wa pombe ni mlevi wa uchi za kike....Yeyote anaetumia kilevi ni mlevi haijalishi atalewa chakali au laa.
Huo sio ulevi ni uraibu. Kuna tofaut ya drunker na addictionMimi sio mlevi wa pombe ni mlevi wa uchi za kike....
😂😂😂 Kwani wapo wanaolewa na wasipitie ata sifa 1 kati ya izo ulizotaja?Ili uwe mlevi ni lazima uwe umepita hatua zifuatazo.
Na hakuna mlevi anayekubali sifa ya ulevi.
-- kulala mtaroni na wahuni kufanya yao.
-- kujikojolea kwenye suruali,
--kupigwa makofi hata na watoto wako ni kawaida.
-+kupoteza network na hata kusahau njia ya home.
--Kuimbaimba na kucheza hovyo hadharani.
Kwa kifupi mlevi ni mnywaji aliyeshindwa kui control pombe.
Hali hiyo ni kwa mlevi yeyote hakubali kuitwa mlevi.
😄😄 Na ukimkuta mtu na mchepuko wake wame-chill sehemu Wasalimie kwa kuwaambia 'Naona wazinzi mmetulia mnakula upepo tu',utaleta majibu humu hali itakavyokua mkuu.Ukimkuta mtu anakula ukimuita Mlafi pia anakasirika sana🤣🤣🤣🤣
Ukimkuta anakunywa we mwambie Boss/tajiri naona unajipumzisha🤣🤣🤣
🤣🤣🤣😄😄 Na ukimkuta mtu na mchepuko wake wame-chill sehemu Wasalimie kwa kuwaambia 'Naona wazinzi mmetulia mnakula upepo tu',utaleta majibu humu hali itakavyokua mkuu.
Hatumii pahali ina shangaa mnapoitwa walevi mnaleta makasiriko 😂Kwani watu ambao hamnywi pombe huwa mnaumia nini mkiona mtu anakunywa ?
Hakuna na ndy maana wanaitwa walevi[emoji23][emoji23][emoji23] Kwani wapo wanaolewa na wasipitie ata sifa 1 kati ya izo ulizotaja?
Habar zenu wadau,
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua wanyaji wengi wa pombe ukiwaita walevi wanakasirika japo sio wote, ila % kubwa wapo ivo.
Kwanini wakasirike wakat ni walevi kweli, hii imekaaje wadau?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu wewe nina uhakika unakula chakula asubuhi, mchana, jioni.. unafikiri utafurahi tukikuita "mlafi" sio kila nywaji ni mlevi.