Kwanini MO Dewji anataka kufunga kiwanda chake cha chai Nchini Tanzania? Bashe amgomea!

Anafunga viwanda vyote au vya mkonge tu?
 
Dogo mbona hupiganii haki za wale waandishi wenzako wa mwanahalisi waliotapeliwa na kijana wa mbowe?
 
πŸ€”πŸ™„πŸ€
 
Huyu Bashe .....mbona siku hizi kama karogwa?.....huko nyuma hakuwa hivyo.
 
Watu hawaangalii maslahi ya nchi, wapo kwaajili ya personal gains, vinginevyo hii isingetokea katu hata siku Moja kuacha watu wachache wamiliki uchumi wa nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…