kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kila Simba inapoingia robo finali mashindo ya CAF Tajiri Mohamed Dewj anajitokeza hazarani kudai anapata hasara kwelikweli kwa kuidhamini Simba, Ni kwanini hasara anazopata zinatangazwa kwenye sasa na kwanini avumilie hasara zinazomkera?
Je, unapogharamia kitu unachokipenda sana hiyo inaitwa hasara au matumizi? Yaani unatoa hela kutunza familia, kunywa pombe, kivuta sigara au kumpa mchepuko wako hayo ni matumizi yako au ni hasara?
Mo anasema yeye ni Simba lialia tangu utotoni, Simba ikifungwa analia kwelikweli na anaapa kwa jina la mama yake kuonyesha kuwa Simba ni starehe yake kama sigara na mazoezi ya mwili gym. Sasa inakuwaje starehe yake imtie hasara?
Je, anapovuta sigara anapata faida gani? Mbona hatangazi hazarani hasara anazopata kwenye matumizi yake mengine binafsi kama familia, kumtembelea Ndugu na jamaa, kivuta sigara, kwenda gym, nk.
Starehe ni gharama Kwanini haachi kama anapata hasara asizozipenda Simba?
Je, unapogharamia kitu unachokipenda sana hiyo inaitwa hasara au matumizi? Yaani unatoa hela kutunza familia, kunywa pombe, kivuta sigara au kumpa mchepuko wako hayo ni matumizi yako au ni hasara?
Mo anasema yeye ni Simba lialia tangu utotoni, Simba ikifungwa analia kwelikweli na anaapa kwa jina la mama yake kuonyesha kuwa Simba ni starehe yake kama sigara na mazoezi ya mwili gym. Sasa inakuwaje starehe yake imtie hasara?
Je, anapovuta sigara anapata faida gani? Mbona hatangazi hazarani hasara anazopata kwenye matumizi yake mengine binafsi kama familia, kumtembelea Ndugu na jamaa, kivuta sigara, kwenda gym, nk.
Starehe ni gharama Kwanini haachi kama anapata hasara asizozipenda Simba?