Kwanini Mo mwenye hisa 49% Simba atoe bilion 20 na wengine wenye hisa 51% hawatoi hela yeyote

Kwanini Mo mwenye hisa 49% Simba atoe bilion 20 na wengine wenye hisa 51% hawatoi hela yeyote

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Swali kwa wana Simba na wengineo:

Uwekezaji wa simba Mo anamiliki 49%, wanachama wengine wa simba wanamiliki 51%.

Why bilioni 20 ya Mo Dewji tu ndio inakomaliwa iwekwe? Na kwa nini wanachama wengine wamiliki wa 51% hawaulizwi bilion 22 wao wanaziweka lini?

Naona kama mo ananyonywa vile, maana anakomaliwa aweke bilioni 20..huku mzigo wote wa kuendesha timu kaachiwa yeye peke yake kama kusajili na kulipa mishahara wachezaji.

Naomba mnijibu bilion 22 za wenye hisa 51% wao wanaziweka lini kwenye account ya Simba?
 
MO ndio maana hatoi na hatotoa hizo fedha kwakua thamani ya malizote baada ya tathmini zimeonekana hazizidi bilioni 4. Nayeye amesema kila mwaka amekua akitoa bilioni tatu kwa shughuli anazo ifanyia Simba. Ina maana mbaka Sasa kwa hesabu za haraka ameshatoa bilioni 12 tena za ki maandishi. Tayari iyo timu ni ya kwake kwaiyo msichonge sana anapofanya maamuzi bila kushirikisha wanachama.
 
MO ndio maana hatoi na hatotoa hizo fedha kwakua thamani ya malizote baada ya tathmini zimeonekana hazizidi bilioni 4. Nayeye amesema kila mwaka amekua akitoa bilioni tatu kwa shughuli anazo ifanyia Simba. Ina maana mbaka Sasa kwa hesabu za haraka ameshatoa bilioni 12 tena za ki maandishi. Tayari iyo timu ni ya kwake kwaiyo msichonge sana anapofanya maamuzi bila kushirikisha wanachama.

Imeisha iyooo[emoji1][emoji1]
 
Kuanza mo mwenyewe na wengine wote ni janja janja tu. Hakuna mahala hata ukifuatilia utakutana na mikataba iliyo kisheria vizuri. Na ukianza kufuatilia tu habari za hivyo unaonekana huitakii mema club.

Hizi club za bongo bado saana kufikia zinapotakiwa ili zijiendeshe zenyewe kisasa. Hapo mo mwenye hisa 49 tu akiachia ngazi tu timu yote ndembendembe. Bado hao wanachama ukiwaambia basi mwenye kusajili,kufadhiri timu,kutoa hela,tumuachie timu 100%, hawatakuelewa
 
MO ndio maana hatoi na hatotoa hizo fedha kwakua thamani ya malizote baada ya tathmini zimeonekana hazizidi bilioni 4. Nayeye amesema kila mwaka amekua akitoa bilioni tatu kwa shughuli anazo ifanyia Simba. Ina maana mbaka Sasa kwa hesabu za haraka ameshatoa bilioni 12 tena za ki maandishi. Tayari iyo timu ni ya kwake kwaiyo msichonge sana anapofanya maamuzi bila kushirikisha wanachama.
Mo anatumia udhaifu wa wanasimba(mbumbumbu fc) kutokuwa na elimu ya kutosha mfano mtu kama Manara na Bashite ambaye amemuweka kama mshauri mwandamizi ili afanye utapeli kirahisi sana
 
Yaani Eymael inabidi apewe tuzo kwa sababu kila siku maonyesha wazi utopolo ni uneducated simba ilikuwa timu ya wanachama asilimia mia moja mo kachukua asilimia 49 kwa bilioni 20 halafu mtu anaanzisha mada Simba watoe pesa ya asilimia 51ujinga wako peleka sehemu nyingine
 
Yaani Eymael inabidi apewe tuzo kwa sababu kila siku maonyesha wazi utopolo ni uneducated simba ilikuwa timu ya wanachama asilimia mia moja mo kachukua asilimia 49 kwa bilioni 20 halafu mtu anaanzisha mada Simba watoe pesa ya asilimia 51ujinga wako peleka sehemu nyingine

Unasema simba ni asilimia 100 shea

Mo kanunua shea 49% kwa bilioni 20

Wanachama wa simba nao wana hisa 51% ila wao ni za bure bure hawatakiwi kutoa pesa kwenye account ya club..

Sasa mtaji wa asilimia 100% utakamilikaje kama mtoa pesa ni mmoja tu mwenye 49% ?

Faida na hasara wanahisa watagawanaje mwishoni mwa mwaka kama mtaji anatoa mtu mmoja tu mwenye 49% na wengine wenye 51% hawatoi kitu.. faida na hasara wataipata vipi hao wenye 51% ?
 
Unasema simba ni asilimia 100 shea

Mo kanunua shea 49% kwa bilioni 20

Wanachama wa simba nao wana hisa 51% ila wao ni za bure bure hawatakiwi kutoa pesa kwenye account ya club..

Sasa mtaji wa asilimia 100% utakamilikaje kama mtoa pesa ni mmoja tu mwenye 49% ?

Faida na hasara wanahisa watagawanaje mwishoni mwa mwaka kama mtaji anatoa mtu mmoja tu mwenye 49% na wengine wenye 51% hawatoi kitu.. faida na hasara wataipata vipi hao wenye 51% ?
Hivi unajua unachoongea, ni heri unyamaze hesabu za asilimia ni darasa la tano ningekuelewa kama ungeuliza simba wamejuaje hisa 49 ni sawa na bilioni 20 mnakimbia somo la hesabu halafu mnauliza kitu kisicho na miguu wala kichwa
 
kwanini Mo mwenye hisa 49% Simba atoe bilion 20 na wengine wenye hisa 51% hawatoi hela yeyote
Very simple! Kwa sababu wenye hisa 51% wametoa brand ya timu. Ukiwa tayari una kiwanja na akaja jamaa akataka ajenge genge lake halafu faida ya genge lake muwe mnagawana, wewe mwenye kiwanja hauna haja tena ya kutoa fedha kwenye mtaji wa genge, maana mchango wako ni kiwanja.

Hapo mwenye kuja kujenga genge ni sawa na anayetakiwa atoe 20B ambayo ni sawa na 49% ya hisa za biashara, na wewe mwenye kiwanja tayari umekwishachangia kiwanja chako, huna haja ya kutoa 20.9B nyingine maana thamani ya kiwanja chako kwa ujumla wake ni 40.9B
 
Very simple! Kwa sababu wenye hisa 51% wametoa brand ya timu. Ukiwa tayari una kiwanja na akaja jamaa akataka ajenge genge lake halafu faida ya genge lake muwe mnagawana, wewe mwenye kiwanja hauna haja tena ya kutoa fedha kwenye mtaji wa genge, maana mchango wako ni kiwanja..
Umemuelezea vzr sana[emoji106], kwa kuongezea hapo simba wenyewe wenye hizo mali walikuwa hawajakamilisha,mfano kiwanja cha bunju hakikua na hati,yale majengo kkoo hayakuwa na hati,ndipo process zimefanyika wameshapata hati,kuna suala la madeni lilikuwa bado halijakamilika?
 
Utopolo mwenyekiti jana katangaza kupitisha bakuli upya ,ndo mnataka timu iendeshwe hivo,nimesoma kwenye media za kenya asubuhi hadi naona aibu Tanzania inavyotukanwa kwa aibu ya utopolo kuendesha timu kwa bakuli
Mo anatumia udhaifu wa wanasimba(mbumbumbu fc) kutokuwa na elimu ya kutosha mfano mtu kama Manara na Bashite ambaye amemuweka kama mshauri mwandamizi ili afanye utapeli kirahisi sana
 
Utopolo mwenyekiti jana katangaza kupitisha bakuli upya ,ndo mnataka timu iendeshwe hivo,nimesoma kwenye media za kenya asubuhi hadi naona aibu Tanzania inavyotukanwa kwa aibu ya utopolo kuendesha timu kwa bakuli
Timu ya wananchi ipo mikononi mwa wananchi kuna ubaya gani wananchi wakichangia?; sio nyie mnajitamba timu imefanya mabadiliko kumbe mmemuuzia muhindi na sasa anafanya atakavyo na punde tu anaiunganisha na ccm na nyie automatically mnakuwa lumumba buku 7
 
Mo anatumia udhaifu wa wanasimba(mbumbumbu fc) kutokuwa na elimu ya kutosha mfano mtu kama Manara na Bashite ambaye amemuweka kama mshauri mwandamizi ili afanye utapeli kirahisi sana

Swali ni je Hao wenye hisa nyingi mbona hawatoi ela?
 
MO ni tapeli hana ubavu wa kutoa hata bilioni moja achilia mbali bilioni 20. Yuko Simba kutafuta kuchuma kwa mgongo wa timu.

Swali kwa wana Simba na wengineo:

Uwekezaji wa simba mo anamiliki 49%, wanachama wengine wa simba wanamiliki 51%.

Why bilioni 20 ya mo dewji tu ndio inakomaliwa iwekwe? Na kwa nini wanachama wengine wamiliki wa 51% hawaulizwi bilion 22 wao wanaziweka lini?

Naona kama mo ananyonywa vile, maana anakomaliwa aweke bilioni 20..huku mzigo wote wa kuendesha timu kaachiwa yeye peke yake kama kusajili na kulipa mishahara wachezaji.

Naomba mnijibu bilion 22 za wenye hisa 51% wao wanaziweka lini kwenye account ya Simba?
 
Unasema simba ni asilimia 100 shea

Mo kanunua shea 49% kwa bilioni 20

Wanachama wa simba nao wana hisa 51% ila wao ni za bure bure hawatakiwi kutoa pesa kwenye account ya club..

Sasa mtaji wa asilimia 100% utakamilikaje kama mtoa pesa ni mmoja tu mwenye 49% ?

Faida na hasara wanahisa watagawanaje mwishoni mwa mwaka kama mtaji anatoa mtu mmoja tu mwenye 49% na wengine wenye 51% hawatoi kitu.. faida na hasara wataipata vipi hao wenye 51% ?
Mbwembwe na utapeli wa wazi unafanyika pale
 
Back
Top Bottom