Ciprofloxacin
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 286
- 544
Hebu nieleweshe, janja janja ya MO ni ipi'? Kama pesa anatoa..tafadhar mzee nieleweshe hio janja janja ya MO ni ipi?Kuanza mo mwenyewe na wengine wote ni janja janja tu. Hakuna mahala hata ukifuatilia utakutana na mikataba iliyo kisheria vizuri. Na ukianza kufuatilia tu habari za hivyo unaonekana huitakii mema club.
Hizi club za bongo bado saana kufikia zinapotakiwa ili zijiendeshe zenyewe kisasa. Hapo mo mwenye hisa 49 tu akiachia ngazi tu timu yote ndembendembe. Bado hao wanachama ukiwaambia basi mwenye kusajili,kufadhiri timu,kutoa hela,tumuachie timu 100%, hawatakuelewa