Ciprofloxacin
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 286
- 544
Hebu nieleweshe, janja janja ya MO ni ipi'? Kama pesa anatoa..tafadhar mzee nieleweshe hio janja janja ya MO ni ipi?Kuanza mo mwenyewe na wengine wote ni janja janja tu. Hakuna mahala hata ukifuatilia utakutana na mikataba iliyo kisheria vizuri. Na ukianza kufuatilia tu habari za hivyo unaonekana huitakii mema club.
Hizi club za bongo bado saana kufikia zinapotakiwa ili zijiendeshe zenyewe kisasa. Hapo mo mwenye hisa 49 tu akiachia ngazi tu timu yote ndembendembe. Bado hao wanachama ukiwaambia basi mwenye kusajili,kufadhiri timu,kutoa hela,tumuachie timu 100%, hawatakuelewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kweli ni yKeMO ndio maana hatoi na hatotoa hizo fedha kwakua thamani ya malizote baada ya tathmini zimeonekana hazizidi bilioni 4. Nayeye amesema kila mwaka amekua akitoa bilioni tatu kwa shughuli anazo ifanyia Simba. Ina maana mbaka Sasa kwa hesabu za haraka ameshatoa bilioni 12 tena za ki maandishi. Tayari iyo timu ni ya kwake kwaiyo msichonge sana anapofanya maamuzi bila kushirikisha wanachama.
kwa hiyo wanachama wameweka bil 22 sio?Yaani Eymael inabidi apewe tuzo kwa sababu kila siku maonyesha wazi utopolo ni uneducated simba ilikuwa timu ya wanachama asilimia mia moja mo kachukua asilimia 49 kwa bilioni 20 halafu mtu anaanzisha mada Simba watoe pesa ya asilimia 51ujinga wako peleka sehemu nyingine
Tafuta tuition ya hesabukwa hiyo wanachama wameweka bil 22 sio?
Kwa ufupi ni kwamba hizo 51% zilitengwa makusudi kusudi Muwekezaji asijejejichukulia Club Kirahisi. Lengo ni kwamba wanachama pindi watakapokuwa tayari kwa mda maalum wazinunue. Pia MO kwa kuanzia tayari aliahidi kuwanunulia wanachama hisa za thamani ya 500,000 kwa kila mwanachama katika kuwasaidia kufikia lengo lao la kumiliki 51%. Kama ungekuwa ni mzigo asingeingiza miguu yake. Na mbaya zaidi mpaka sasa wakati tunaposubiria mchakato umalizike yeye MO ndiye anaiyefaidi saana kupitia matangazo ya biashara na mapato yote kwa hivi sasa yote yapo chini yake (anazungushia biashara zake).Kwa mfano aliingia mkataba na Club wa kutangaza bidhaa moja tu ya Mo Extra ila sasa amechomekea MO Halisi na MO ProtectorSwali kwa wana Simba na wengineo:
Uwekezaji wa simba Mo anamiliki 49%, wanachama wengine wa simba wanamiliki 51%.
Why bilioni 20 ya Mo Dewji tu ndio inakomaliwa iwekwe? Na kwa nini wanachama wengine wamiliki wa 51% hawaulizwi bilion 22 wao wanaziweka lini?
Naona kama mo ananyonywa vile, maana anakomaliwa aweke bilioni 20..huku mzigo wote wa kuendesha timu kaachiwa yeye peke yake kama kusajili na kulipa mishahara wachezaji.
Naomba mnijibu bilion 22 za wenye hisa 51% wao wanaziweka lini kwenye account ya Simba?
Mudi msanii sanaMo ameshawapiga hiyo pesa amasema hatoi hata kumi.
Mali za simba SC ndio hizo 51%Swali kwa wana Simba na wengineo:
Uwekezaji wa simba Mo anamiliki 49%, wanachama wengine wa simba wanamiliki 51%.
Why bilioni 20 ya Mo Dewji tu ndio inakomaliwa iwekwe? Na kwa nini wanachama wengine wamiliki wa 51% hawaulizwi bilion 22 wao wanaziweka lini?
Naona kama mo ananyonywa vile, maana anakomaliwa aweke bilioni 20..huku mzigo wote wa kuendesha timu kaachiwa yeye peke yake kama kusajili na kulipa mishahara wachezaji.
Naomba mnijibu bilion 22 za wenye hisa 51% wao wanaziweka lini kwenye account ya Simba?
Mazee at times tuwe tunatumia akili kidogo, Mo alininunua asilimia 49 ya Simba kwa bil 20, mzigo huu alipaswa autoe wote ndio hoja ya pesa za management ya club ifuate.MO ndio maana hatoi na hatotoa hizo fedha kwakua thamani ya malizote baada ya tathmini zimeonekana hazizidi bilioni 4. Nayeye amesema kila mwaka amekua akitoa bilioni tatu kwa shughuli anazo ifanyia Simba. Ina maana mbaka Sasa kwa hesabu za haraka ameshatoa bilioni 12 tena za ki maandishi. Tayari iyo timu ni ya kwake kwaiyo msichonge sana anapofanya maamuzi bila kushirikisha wanachama.
Ada ya uanachama walikuwa wanalipiwa wakati wa uchaguzi. Hawawezi kununua hisa.Swali kwa wana Simba na wengineo:
Uwekezaji wa simba Mo anamiliki 49%, wanachama wengine wa simba wanamiliki 51%.
Why bilioni 20 ya Mo Dewji tu ndio inakomaliwa iwekwe? Na kwa nini wanachama wengine wamiliki wa 51% hawaulizwi bilion 22 wao wanaziweka lini?
Naona kama mo ananyonywa vile, maana anakomaliwa aweke bilioni 20..huku mzigo wote wa kuendesha timu kaachiwa yeye peke yake kama kusajili na kulipa mishahara wachezaji.
Naomba mnijibu bilion 22 za wenye hisa 51% wao wanaziweka lini kwenye account ya Simba?
Una kichwa kigumu sana.Unasema simba ni asilimia 100 shea
Mo kanunua shea 49% kwa bilioni 20
Wanachama wa simba nao wana hisa 51% ila wao ni za bure bure hawatakiwi kutoa pesa kwenye account ya club..
Sasa mtaji wa asilimia 100% utakamilikaje kama mtoa pesa ni mmoja tu mwenye 49% ?
Faida na hasara wanahisa watagawanaje mwishoni mwa mwaka kama mtaji anatoa mtu mmoja tu mwenye 49% na wengine wenye 51% hawatoi kitu.. faida na hasara wataipata vipi hao wenye 51% ?
Thamani ya umiliki wao wa club 51% ni tsh 22bil.kwa hiyo wanachama wameweka bil 22 sio?
Unasema simba ni asilimia 100 shea
Mo kanunua shea 49% kwa bilioni 20
Wanachama wa simba nao wana hisa 51% ila wao ni za bure bure hawatakiwi kutoa pesa kwenye account ya club..
Sasa mtaji wa asilimia 100% utakamilikaje kama mtoa pesa ni mmoja tu mwenye 49% ?
Faida na hasara wanahisa watagawanaje mwishoni mwa mwaka kama mtaji anatoa mtu mmoja tu mwenye 49% na wengine wenye 51% hawatoi kitu.. faida na hasara wataipata vipi hao wenye 51% ?