Kwanini Moderators hawachangii mada?

Kwanini Moderators hawachangii mada?

kwa yoyote kula ban atoe uzoefu wake jinsi alivyokuwa mnyongeee
 
Wapo humu humu kila siku mpo nao na kuna wakati mnabishana/mnalumbana nao.

Sema huwezi kuwastukia kwa kuwa wanaingia kivingine
 
Wana iPhone S 7 hivyo post zao si rahisi kuziona kama unatumia tekno
 
kwa yoyote kula ban atoe uzoefu wake jinsi alivyokuwa mnyongeee
Wana iPhone S 7 hivyo post zao si rahisi kuziona kama unatumia tekno
running.png
 
wanachangia hasa ktk mada za memba wanao hitaji msaada ktk majukwaa.

LAKINI OIA INVISIBLE MIAKA YA NYUMA YEYE MWENYEWE ALIKUA AKIANZISHA MADA NA KUJIBU HOJA MBALIMBALI

il sababu kuu ni kutotaka kuonesha msimamo wao ktk mambo ya kisiasa uchumi kidini n.k ili wanapo shusha rungu la ban wasionekane wamependelea au kumwonea yeyote kama wangeweka misimamo yao waziwazi.
ni vizuri taratibu hizi zingeendea
 
wanachangia hasa ktk mada za memba wanao hitaji msaada ktk majukwaa.

LAKINI OIA INVISIBLE MIAKA YA NYUMA YEYE MWENYEWE ALIKUA AKIANZISHA MADA NA KUJIBU HOJA MBALIMBALI

il sababu kuu ni kutotaka kuonesha msimamo wao ktk mambo ya kisiasa uchumi kidini n.k ili wanapo shusha rungu la ban wasionekane wamependelea au kumwonea yeyote kama wangeweka misimamo yao waziwazi.
Invisible hivi bado yupo?

Cc Cookie
 
Back
Top Bottom