Kwanini Moderators hawachangii mada?

Kwanini Moderators hawachangii mada?

Mods wapo wanaochangia, mfano Invicible na Buchanan walikuwa wanachangia sana mijadala miaka ya 2015 kurudi nyuma huko.

Ila kwa sasa nachokiona kuna IDs maalum zimetengenezwa kwa ajili ya Mods tu ambazo hazikuzuii kuwa na ID yako binafsi hata kama wewe ni mod, kwamba hata siku ukiacha kazi ya u-mod anapewa mwingine hio ID inaendelea kupiga kazi huku wewe ukibaki na ID yako kama kawaida, ndio maana kuna mod1, mod2, mod3, mod4 na kuendelea huko.
 
Mods wapo wanaochangia, mfano Invicible na Buchanan walikuwa wanachangia sana mijadala miaka ya 2015 kurudi nyuma huko.

Ila kwa sasa nachokiona kuna IDs maalum zimetengenezwa kwa ajili ya Mods tu ambazo hazikuzuii kuwa na ID yako binafsi hata kama wewe ni mod, kwamba hata siku ukiacha kazi ya u-mod anapewa mwingine hio ID inaendelea kupiga kazi huku wewe ukibaki na ID yako kama kawaida, ndio maana kuna mod1, mod2, mod3, mod4 na kuendelea huko.
kumbe hata mods wana IDs michepuko?
 
Wanatamani sana kuchangia,ila hawajui kusoma wala kuandika.
 
Back
Top Bottom