Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
Kwa hiyo Dodoma ni jiji Kubwa?Katika tathmini ya majiji yote kukua hutawai kuisikia Morogoro inakua au inategemewa kukua kutokana na miradi au vipaumbele vya nchi.
Morogoro ipo katikati ya majiji mawili makubwa Dar na Dodoma. Hii ni ngumu sana uwekezaji kufanyika hapa.
Pole Morogoro utabaki kuwa njia panda.
kaka ushawai fika dodoma afu ufananishe na morogoroKwa hiyo Dodoma ni jiji Kubwa?
Tuwe serious kidogo jamani!!
Tunaongelea maendeleo ya jiji hatuongelei mahitaji ya muhimu kwa binadam kuishi.Kama wananchi hawafi njaa na wanapata huduma zote za muhimu bila shida basi ni bora hizo nyingine ni bwebwe tu..
mkuuHahahaa!.
nnDuh!
Sifahamu.
Dar,arusha ,mwanza na domTutajie mji gani wa kisasa uliopo Tz.
Sijajua mleta mada anataka nini? Kwa maana mpaka sasa morogoro sio jiji bali ni manispaaKatika tathmini ya majiji yote kukua hutawai kuisikia Morogoro inakua au inategemewa kukua kutokana na miradi au vipaumbele vya nchi.
Morogoro ipo katikati ya majiji mawili makubwa Dar na Dodoma. Hii ni ngumu sana uwekezaji kufanyika hapa.
Pole Morogoro utabaki kuwa njia panda.
Miaka hiyo Morogoro ilikua inakimbizana na Dar ndio chimbuko la huo usem"Morogoro, Mji kasoro bahari". Sijui walikuwa na maana gani na msemo huu? Mbona kuna miji mingi ambayo haina bahari, lakini Morogoro ndiyo maarufu kwa hilo la Mji kasoro Bahari!
Ooh! Asante. Nimekupata.Miaka hiyo Morogoro ilikua inakimbizana na Dar ndio chimbuko la huo usem
Nikiangalia kiuhalisia Morogoro inatanuka polepole sana na watu wake karibu wote wanafahamiana, huwa nailinganisha na mji wa Mafinga ambao unakua kwa kasi kuizidi MorogoroKatika tathmini ya majiji yote kukua hutawai kuisikia Morogoro inakua au inategemewa kukua kutokana na miradi au vipaumbele vya nchi.
Na umanispaa wenyewe ni wa favour.Sijajua mleta mada anataka nini? Kwa maana mpaka sasa morogoro sio jiji bali ni manispaa