Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
SijaelewaKwa sababu watu ni wengi kuliko bajaji na daladala ni nyingi kuliko bajaji na watu ,Ukiuliza swali la kijinga na wewe unapaswa kujibiwa kijinga
Aende mbeya sio?Hivyo vibajaji viwili ndio inasema vingi kuliko dagaldala we jamaa vipi aisee, hujatembea miji ya watu uone bajaji wewe
Hapo Singida tu zipo za kutosha. Mji mdogo wa Makambako nao zipo za kutosha piaMkuu sidhan kama ushawahi kufika mbeya nadhani usingeandika kuhusu moshi, mbeya bajaji ni nyingi mnoo
Mkuu sidhan kama ushawahi kufika mbeya nadhani usingeandika kuhusu moshi, mbeya bajaji ni nyingi mnoo
Maana yangu ni bajaj ni nyingi kuliko dalali ila sio nyingi kuliko mikoa mingineHivyo vibajaji viwili ndio inasema vingi kuliko dagaldala we jamaa vipi aisee, hujatembea miji ya watu uone bajaji wewe
Hapo Singida tu zipo za kutosha. Mji mdogo wa Makambako nao zipo za kutosha pia