Kwanini mpaka leo mwamuzi wa mechi ya Yanga Vs Simba hajatangazwa?

Kwanini mpaka leo mwamuzi wa mechi ya Yanga Vs Simba hajatangazwa?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,412
Reaction score
3,043
Yaani bado masaa 48 lakini mpaka sasa mwamuzi bado hajatangazwa!

TFF amkeni acheni kuongoza soka kizamani.

Tunaomba alhamisi mumtaje mwamuzi ili tumjue
 
Back
Top Bottom