Kwanini Mrisho Mpoto havai viatu?

Kwanini Mrisho Mpoto havai viatu?

Dah.. Hili swali niliwahi kuulizwa na binti yangu nikakosa jibu!
 
Huyu huwa haimbi bali anaongea ongea mivitu vitu
 
Sijawahi jua hili ndio leo.. Havai viatu kabisa ama mnatania nyie!!!
 
Anaamini kukanyaga ardhi peku kuna connection na ancestors na pia kuna nguvu ya kipekee anayoichuma kutoka ardhini. Kama wafanyavyo baadhi ya mabudha, mayogi, na watawa wengine.
 
Apigwe marufuku asije akaenda nchi za watu peku akatuletea Ebola
 
nishamuona bagamoyo kavaa viatu,tshirt na short pants
 
Misimamo mingine mi nadhani sio mizuri.
Huyu jamaa mwenye jina kubwa ndani na nje ya nchi ni kwanini havai viatu?
...anaingiaje kwenye public toilets etc ?
Mi nadhani its high time ashauriwe kuvaa viatu au hata open shoes.

identity!
 
Hahahaha hata mimi nilimsikia anasema hivyo!
Nadhani anamuiga mwana muziki mmoja maarufu wa raggee nchini Jamaica anaitwa Mutabaruka.Huyu jamaa hajawahi vaa viatu toka azaliwe kisha ni mwana muziki msomi hadi chuo kikuu na ni mtunzi mkubwa vitabi vya mashairi na ni tajiri.Kama hio haitoshi,hapendi pia kuvaa shati.
 
Huyu huwa haimbi bali anaongea ongea mivitu vitu

Mie hata huwa simwelewi anaimba ama anaongea mavitu vitu gani Kigogo nimecheka wewe na ni usiku sasa mpaka mzee kashituka ha ha ha eti anaongea mavituvitu ha ha ha uwiii jamani kumbe tuko wengi hatumwelewi eeehh nilidhani peke yangu
 
Last edited by a moderator:
Sijawahi jua hili ndio leo.. Havai viatu kabisa ama mnatania nyie!!!

Nikiwa na yf k' koo, yf alishtuka kumuona Mpoto anapekua!
Baadae nilikutana nae Airport anaenda Uingereza, alivaa suti nadhif lkn chini peku peku!
Ni kweli jamaa ni peku peku!
 
Back
Top Bottom