Kwanini Mrisho Mpoto havai viatu?

Kwanini Mrisho Mpoto havai viatu?

Jana nilianzisha uzi kuhusu tabia za Mrisho Mpoto kutembea peku peku na nilitoa mtazamo wangu kuhusu tabia hii, miongoni mwa mitazamo yangu ni suala la ushirikina na suala la kutozingatia unadhifu na hatari inayoweza kutokea kwa kutembea peku ikiwemo kupata magonjwa ya kama vile fangasi.

Lakini kwa maajabu kabisa moderators waliufuta ule uzi.Sasa nimeuleta tena kwa mtazamo tofauti kidogo.

Nyinyi mnaonaje kuhusu uzima wa kiakili juu ya huyu ndugu yetu, je ni kweli anatembea peku kama ishara ya kutunza na kuthamini tamaduni zetu za kiafrika kama yeye anavyodai au lah?
mrishompoto-20190304-0003.jpeg
mrishompoto-20190304-0002.jpeg
mrishompoto-20190304-0001.jpeg
 
Jana nilianzisha uzi kuhusu tabia za Mrisho Mpoto kutembea peku peku na nilitoa mtazamo wangu kuhusu tabia hii, miongoni mwa mitazamo yangu ni suala la ushirikina na suala la kutozingatia unadhifu na hatari inayoweza kutokea kwa kutembea peku ikiwemo kupata magonjwa ya kama vile fangasi.

Lakini kwa maajabu kabisa moderators waliufuta ule uzi.Sasa nimeuleta tena kwa mtazamo tofauti kidogo.

Nyinyi mnaonaje kuhusu uzima wa kiakili juu ya huyu ndugu yetu, je ni kweli anatembea peku kama ishara ya kutunza na kuthamini tamaduni zetu za kiafrika kama yeye anavyodai au lah?View attachment 1037477View attachment 1037478View attachment 1037479

Angevaa na ngozi au nguo za magome pia kama anataka kweli uafrika wa asili.
 
wapo pia mapadre wanaotembea pekupeku lakini wakorea pia ni watu wanaopenda kutembea peku japo si kwa muda wote.
wakorea wachache wanasema yapo mahusiano mazuri kwa mwanadamu na ardhi na hasa unapoikanyaga ukiwa pekupeku ni kwa kiasi gani bado sijapata majibu mazuri.
lakini pia ipo tabia ya wasomali kuzunguka mji mzima wanaoamia wakiwa pekupeku na wakifanya hivyo hakuna mkasa unaowakuta wasiweze kushinda.
hivyo ukiliweka kwa imani unafanikiwa nalo iwe ni upande wa giza au nuru.
 
Hiyo ni mojawapo ya uchafu mkuu.Mtu mwenye akili zake hawezi tembea peku tena zama kama hizi.He is SAVAGE
 
Jana nilianzisha uzi kuhusu tabia za Mrisho Mpoto kutembea peku peku na nilitoa mtazamo wangu kuhusu tabia hii, miongoni mwa mitazamo yangu ni suala la ushirikina na suala la kutozingatia unadhifu na hatari inayoweza kutokea kwa kutembea peku ikiwemo kupata magonjwa ya kama vile fangasi.

Lakini kwa maajabu kabisa moderators waliufuta ule uzi.Sasa nimeuleta tena kwa mtazamo tofauti kidogo.

Nyinyi mnaonaje kuhusu uzima wa kiakili juu ya huyu ndugu yetu, je ni kweli anatembea peku kama ishara ya kutunza na kuthamini tamaduni zetu za kiafrika kama yeye anavyodai au lah?View attachment 1037477View attachment 1037478View attachment 1037479
Wasafi buku 7 mmepishana kauli na Mpoto mnakuja kutuhoji sisi kuhusu pekuapekua zake.
 
MWENYEWE KASEMA KWA MANENO YAKE MWENYEWE KUWA RUGE NDIYO ALIMWAMBIA ATEMBEE BILA VIATU
 
Back
Top Bottom