Kwanini Msanii Bobi Wine hasemi mateso aliyoyapata akiwa Uganda na alisema alipokuwa kwa Wazungu hivi karibuni?

Kwanini Msanii Bobi Wine hasemi mateso aliyoyapata akiwa Uganda na alisema alipokuwa kwa Wazungu hivi karibuni?

Daah haya mabiti ya huyu jamaa sio powa! 😬

Halafu huwa nayapatia kwelikweli Mkuu utadhani kweli vile wakati ' Kiuhalisia ' kabisa GENTAMYCINE hana nguvu wala ubavu wowote ule na ni bonge la Nyali / Mwoga.
 
Mimi sina nguvu kabisa ' Physically ' ila Ubabe wangu wa mdomo na ' Mikwara ' yangu ndiyo inayonipa Jeuri na inanisaidia mno tu.
Kuna jamaa Yangu mwingine anaitwa wakete ana mikwala kinoma lakin hana nguvu kabisa ila kwa mikwara tu lazima usande
 
Km wanavyokukojolea wewe kwenye mitako yk iyo au

Ewe Mwenyezi Mungu nakuomba unitumie Malaika wako waniingie moyoni mwangu wanipe uvumilivu uliotukuka kabisa wa Mimi kutomjibu huyu hovyo Amina.
 
Vipi Victoire Ingabire amekisema kilichompata gerezani mkuu?
 
mimi nipo hapa uganda inasemekana aliliwa kiboga, na kuvunjwa dyudyu yake mke wake now ni wa kulea watoto tu
Mtu unamtowashi mwenzio kwa lipi ?! M7 pamekuwa zaidi ya Idi Amini. Kyagulani amepiga campaign kama M7 alivyo piga. Na wananchi wakamchagua mgombea aliyeungwa na Bobi Wine.
Hata kwenye vurugu hakuepo, amefuatwa hotelini na kumfanyia unyama.

M7 atapita kama walivyo pita kina Mobutu na Amini. Nao walipendwa na wanafki wanaofurahia mateso ya wenzao kama Gentamycine
 
Kila Mtu alidhani kama baada ya sasa kuwa amerudi nchini mwake Uganda basi ndiyo ingekuwa sehemu sahihi na wakati muafaka kabisa kwa Msanii Bobi Wine kuwaelezea sasa Wananchi wa Uganda jinsi ya alivyoteswa na Wanajeshi wa Vikosi ' Maalum ' vya SFC lakini badala yake tokea arejee namwona ' analialia ' tu kama Mtoto na Mwendawazimu fulani hivi.

Naona Kosa la ' Kipopoma ' ambalo alilifanya Msanii wa Tanzania Roma Mkatoliki la kutokusema aina ya ' mateso ' aliyoyapata ' alipotekwa ' ndiyo analirudia na huyu ' Mnafiki ' Msanii Bobi Wine wa nchini Uganda. Hivi ni wapi sehemu sahihi ya kusema ' mateso ' yako kati ya ukiwa Ugenini Marekani au ukiwa Nyumbani Uganda?

Wanaharakati wa leo wa Afrika ni Wanafiki halafu ni ' Vibaraka ' wakubwa wa Wazungu ambao wanawatumia vibaya. Marais wote wa Afrika wangekuwa kama hawa Marais wangu ' Vipenzi ' kabisa Paul Kagame ( Rwanda ), Yoweri Museveni ( Uganda ) na Dr. John Magufuli ningefurahi mno na naamini hata ' Maendeleo ' ya Bara zima la Afrika yangepatikana kwa haraka kwakuwa Marais hawa ni Imara na ' hawatishwi ' na maneno ya Watu Wapuuzi / Mijitu Mipuuzi na badala yake wao ni mbele kwa mbele tu.

Nawasilisha.
Hawa marais wanaongoza nchi gani umesema?wanamaendeleo kuliko SA NG EGYPT MORROCO ALGERIA?
 
Hua najiuliza huyu Gentamycine ni nani ila nashindwa kuelewa. Ana akili za kipuuzi na vitisho vya kijinga sijawahi kuona. Pimbi wewe
 
Kumbe huwajui hawa watu, ndugu yangu mmoja alikwendaga kule kambi za wakimbizi ila yeye alikuwa mrefu na ana pua ndogo kama za kizungu. Nashangaa aliambiwa aondoke maana walimwambie eti ni mtutsi amekuja kuwamaliza kumbe ni mchagga kabisa alipangiwa kazi na serikali nikashangaa hawa watu ni wa aina gani maaana naskia ukikutana naye cha kwanza kukuangalia ni pua, kama una pua ndogo jiandae kutembelewa na wasiojulikana wakaku-panga-lize

alafu naskia ukioa kwao basi wanahamia kwako mwisho wa siku unajikuta umebaki mwenyewe na wewe mwoaji wanakutimua ukibisha basi kifu chakuhusu. Hawa sio watu ni mende
Mama angu mzazi alinizuia nisioe huko. Nilikatisha mahusiano na binti yao na leo naelewa kauli ya bi mkubwa
 
Hua najiuliza huyu Gentamycine ni nani ila nashindwa kuelewa. Ana akili za kipuuzi na vitisho vya kijinga sijawahi kuona. Pimbi wewe

Huyo ni mnyarwanda pure maana ni majidai, anajiona ana akili kuliko wengine, mkatili kupitiliza. Nilikaaga na mzee mmoja wa Kirundi alinieleza mengi ndo nikaja kuwaelewa hawa watu. Ni wabaguzi sana, kitu cha kwanza wakikutana na wewe wanaangalia pua yako, kama una li pua lidogo basi jiandae kukutana na bwana pepsi. Yaani ni mbaguzi sijapata ona
 
sasa na wewe hebu kaa vizuri, hicho unachotaka kukisikia subiiri mahakam mana tayari kuna kesi mahkmani na sio sahihi kuanza kusemsema kam unavyotaka
 
Back
Top Bottom