Kwanini Msanii Bobi Wine hasemi mateso aliyoyapata akiwa Uganda na alisema alipokuwa kwa Wazungu hivi karibuni?

Daah haya mabiti ya huyu jamaa sio powa! 😬

Halafu huwa nayapatia kwelikweli Mkuu utadhani kweli vile wakati ' Kiuhalisia ' kabisa GENTAMYCINE hana nguvu wala ubavu wowote ule na ni bonge la Nyali / Mwoga.
 
Mimi sina nguvu kabisa ' Physically ' ila Ubabe wangu wa mdomo na ' Mikwara ' yangu ndiyo inayonipa Jeuri na inanisaidia mno tu.
Kuna jamaa Yangu mwingine anaitwa wakete ana mikwala kinoma lakin hana nguvu kabisa ila kwa mikwara tu lazima usande
 
Km wanavyokukojolea wewe kwenye mitako yk iyo au

Ewe Mwenyezi Mungu nakuomba unitumie Malaika wako waniingie moyoni mwangu wanipe uvumilivu uliotukuka kabisa wa Mimi kutomjibu huyu hovyo Amina.
 
Vipi Victoire Ingabire amekisema kilichompata gerezani mkuu?
 
mimi nipo hapa uganda inasemekana aliliwa kiboga, na kuvunjwa dyudyu yake mke wake now ni wa kulea watoto tu
Mtu unamtowashi mwenzio kwa lipi ?! M7 pamekuwa zaidi ya Idi Amini. Kyagulani amepiga campaign kama M7 alivyo piga. Na wananchi wakamchagua mgombea aliyeungwa na Bobi Wine.
Hata kwenye vurugu hakuepo, amefuatwa hotelini na kumfanyia unyama.

M7 atapita kama walivyo pita kina Mobutu na Amini. Nao walipendwa na wanafki wanaofurahia mateso ya wenzao kama Gentamycine
 
Hawa marais wanaongoza nchi gani umesema?wanamaendeleo kuliko SA NG EGYPT MORROCO ALGERIA?
 
Hua najiuliza huyu Gentamycine ni nani ila nashindwa kuelewa. Ana akili za kipuuzi na vitisho vya kijinga sijawahi kuona. Pimbi wewe
 
Mama angu mzazi alinizuia nisioe huko. Nilikatisha mahusiano na binti yao na leo naelewa kauli ya bi mkubwa
 
Hua najiuliza huyu Gentamycine ni nani ila nashindwa kuelewa. Ana akili za kipuuzi na vitisho vya kijinga sijawahi kuona. Pimbi wewe

Huyo ni mnyarwanda pure maana ni majidai, anajiona ana akili kuliko wengine, mkatili kupitiliza. Nilikaaga na mzee mmoja wa Kirundi alinieleza mengi ndo nikaja kuwaelewa hawa watu. Ni wabaguzi sana, kitu cha kwanza wakikutana na wewe wanaangalia pua yako, kama una li pua lidogo basi jiandae kukutana na bwana pepsi. Yaani ni mbaguzi sijapata ona
 
sasa na wewe hebu kaa vizuri, hicho unachotaka kukisikia subiiri mahakam mana tayari kuna kesi mahkmani na sio sahihi kuanza kusemsema kam unavyotaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…