GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sababu ya kulegea yaweza kupatikana kwa kupimwa mkojo kwa sampuli ya huo mkojo kuchukuliwa hapo hapo jukwaani. Halafu kwani kitu kikilegea si huwa kinakazwa?Huwa najiuliza Maswali mengi sana juu ya huyu Msanii ' Bwana Mdogo ' Dogo Aslay hasa kwa tabia yake ya kila akiwa anaimba ama iwe ni Jukwaani ' Mubashara ' au katika Nyimbo zake zilizorekodiwa ( Video ) lazima tu utamuona akipenda ' Kurembua ' Macho yake huku ' akijilegeza ' mno hali ambayo Kiukweli kwa Sisi Wanaume tuliozaliwa hii Mikoa ya Pwani tunapata nae taabu sana tu.
Je kwanini anakuwa hivi?
Nawasilisha.
Hii maada mbona unapenda sana kuirudia rudia hii ni Mara ya pili unaileta sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndiyo GENTAMYCINE"
Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer
"
Mleta mada jana kanywa leo anahara.
bro nasubiri uzi wa mechi ya Simba vs VitaUko tayari kwa Vita au Unabipu tu? Nasubiri jibu langu tafadhali.
Afadhali ww unaye muonaga unaweza ukaja na conclusive statement...!!Huwa najiuliza Maswali mengi sana juu ya huyu Msanii ' Bwana Mdogo ' Dogo Aslay hasa kwa tabia yake ya kila akiwa anaimba ama iwe ni Jukwaani ' Mubashara ' au katika Nyimbo zake zilizorekodiwa ( Video ) lazima tu utamuona akipenda ' Kurembua ' Macho yake huku ' akijilegeza ' mno hali ambayo Kiukweli kwa Sisi Wanaume tuliozaliwa hii Mikoa ya Pwani tunapata nae taabu sana tu.
Je kwanini anakuwa hivi?
Nawasilisha.
Aisee huu uzi unapoelekea sio kuzuri.Ngoja nikae mkao wa kusoma matusi