Kwanini Msanii Dogo Aslay akiwa anaimba anapenda sana ' Kurembua ' macho na ' Kujilegeza ' kupita Kiasi?

Kwanini Msanii Dogo Aslay akiwa anaimba anapenda sana ' Kurembua ' macho na ' Kujilegeza ' kupita Kiasi?

Dogo hamna kitu namchwki hapa kqenye tamasha la ccm ugolo mtupu.
 
20200816_061728.jpg
20200816_061752.jpg
 
Huwa najiuliza Maswali mengi sana juu ya huyu Msanii ' Bwana Mdogo ' Dogo Aslay hasa kwa tabia yake ya kila akiwa anaimba ama iwe ni Jukwaani ' Mubashara ' au katika Nyimbo zake zilizorekodiwa ( Video ) lazima tu utamuona akipenda ' Kurembua ' Macho yake huku ' akijilegeza ' mno hali ambayo Kiukweli kwa Sisi Wanaume tuliozaliwa hii Mikoa ya Pwani tunapata nae taabu sana tu.

Je kwanini anakuwa hivi?

Nawasilisha.
Kuna mwingine anaitwa sijui LavaLava, yeye ndo kabisaa kama mtoto wa kike, na mwingine Rayvanny, uanaume hakuna kabisa ndani yao hawa watoto, wana pigo za kike, hao huku Chugga hatuwataki, waendelee kubak huko huko Dar
 
Huwa najiuliza Maswali mengi sana juu ya huyu Msanii ' Bwana Mdogo ' Dogo Aslay hasa kwa tabia yake ya kila akiwa anaimba ama iwe ni Jukwaani ' Mubashara ' au katika Nyimbo zake zilizorekodiwa ( Video ) lazima tu utamuona akipenda ' Kurembua ' Macho yake huku ' akijilegeza ' mno hali ambayo Kiukweli kwa Sisi Wanaume tuliozaliwa hii Mikoa ya Pwani tunapata nae taabu sana tu.

Je kwanini anakuwa hivi?

Nawasilisha.
Kwanini akiwa anaimba unapenda kumuangalia machoni?
 
Bora Aslay kuna yule muimba Gospel anaitwa GodluckGozbert.Yaliyomo yamo.
 
Hawa vijana ni wa kuwaonea huruma na kuwaombea....wanalishwa nyama sio poa na hawana namna imekuwa sehemu ya harakati zao za maisha.
 
Back
Top Bottom