Kwanini msichana mwafrika akiishi Ulaya lazima awe mzuri mrefu tofauti na ambavyo angeishi sana Afrika?

Kwanini msichana mwafrika akiishi Ulaya lazima awe mzuri mrefu tofauti na ambavyo angeishi sana Afrika?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Fanya utafiti utagundua msichana wa kiafrika akikulia afrika anakuwa wakawaida ila akija ulaya au marekani anakuwa mzuri mno mnoo.
 
Anakuwa mrefu mzuri mwenye kiuno kizuri na HIPSI ila akikulia afrika hawi na hipsi kivileeee.
 
Chukua binti maskini toka afrika aliebalehe ukimpeleka ulaya lazima afanane na the most beautiful girl in one of the regions where u reside eg mtwara mbeya tanga Moshi etc
 
Hizi ndio akili za bavicha .very poor
 
Back
Top Bottom