Kwanini mstari huu kwenye ramani ya Kenya umepinda, ilikuwa kwa nia gani?

Scramble for,
Eneo la bandari ya Mombasa libaki Kenya kwaajili ya shughuri za uchumi wa kikoloni, lakini pia Wajerumani walilitaka eneo la mlima Kilimanjaro, so ikabidi ipigwe kona.

Vipande vyote walivyojikatia wajerumani ni vikubwa na vyenye utajiri mkubwa, wao ndo walikuwa moja ya mataifa makubwa wakati huo
 
Huo mpaka umenyooka kwenye makaratasi ila kwa ground mambo ni kinyume. Uulize sisi tuliokulia maeneo ya mpakani.
 
Waulize Waingereza na Wajerumani watakupa sababu!
 
Hivi kwenye ground wanajuaje Kuwa hapa ndio mpaka ule unaoonekana kwenye makaratasi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…