Scramble for,
Eneo la bandari ya Mombasa libaki Kenya kwaajili ya shughuri za uchumi wa kikoloni, lakini pia Wajerumani walilitaka eneo la mlima Kilimanjaro, so ikabidi ipigwe kona.
Vipande vyote walivyojikatia wajerumani ni vikubwa na vyenye utajiri mkubwa, wao ndo walikuwa moja ya mataifa makubwa wakati huo